Utata wa ratiba ya kampeni za dr slaa

TUKUTUKU

JF-Expert Member
Sep 14, 2010
11,765
4,033
Mimi ni muumini mkubwa wa utendaji wa CHADEMA,na hasa utendaji kazi aliouonyesha Dr Slaa.Naamini Chama hiki kinaweza kunifikisha kwenye ndoto yangu ya utumiaji wa rasilimali za nchi kwa faida ya nchi na kupambana na ufisadi.Nimeshindwa kuficha hisia zangu kwa ndugu na jamaa zangu wa karibu.Kuna swali moja huwa wananiuliza ambalo limenishinda kulijibu au huwa nalijibu, lakini si kwa ufasaha.
Swali lenyewe linahusu ratiba ya kampeni ya Dr slaa,wanauliza mbona anakwenda maeneo ambayo alishakwenda?kwa mfano alishakwenda Shinyanga na Mwanza ,lakini mbona bado anakwenda tena, wakati bado kuna maeneo mengine ambayo bado ajakwenda kama Tanga,Pwani,Lindi,Mtwara na Zanzibar.Alipokwenda Tabora mbona hakwenda Sikonge na Urambo?Nimejaribu kutembelea website ya CHADEMA ili niweze kujua ratiba za kampeni za Dr Slaa,lakini sijapata ufafanuzi kwa kuwa website ya CHADEMA,kwa sasa haipatikani.

Wana Jf mwenye maelezo ya kutosha naomba ufafanuzi!
 
Mimi ni muumini mkubwa wa utendaji wa CHADEMA,na hasa utendaji kazi aliouonyesha Dr Slaa.Naamini Chama hiki kinaweza kunifikisha kwenye ndoto yangu ya utumiaji wa rasilimali za nchi kwa faida ya nchi na kupambana na ufisadi.Nimeshindwa kuficha hisia zangu kwa ndugu na jamaa zangu wa karibu.Kuna swali moja huwa wananiuliza ambalo limenishinda kulijibu au huwa nalijibu, lakini si kwa ufasaha.
Swali lenyewe linahusu ratiba ya kampeni ya Dr slaa,wanauliza mbona anakwenda maeneo ambayo alishakwenda?kwa mfano alishakwenda Shinyanga na Mwanza ,lakini mbona bado anakwenda tena, wakati bado kuna maeneo mengine ambayo bado ajakwenda kama Tanga,Pwani,Lindi,Mtwara na Zanzibar.Alipokwenda Tabora mbona hakwenda Sikonge na Urambo?Nimejaribu kutembelea website ya CHADEMA ili niweze kujua ratiba za kampeni za Dr Slaa,lakini sijapata ufafanuzi kwa kuwa website ya CHADEMA,kwa sasa haipatikani.

Wana Jf mwenye maelezo ya kutosha naomba ufafanuzi!

Madrasa!!!

Huko wana msemo wao "Muislamu mmoja = makafiri 10.

Lakini ataenda tu.
 
Nimeona waraka huo unaosemekana umetoka kwa waislamu,kwa jinsi nilivyoutafakari ukipewa nafasi utatumaliza kabisa watanzania.TUSIUPE NAFASI HATA KIDOGO.
 
Mimi ni muumini mkubwa wa utendaji wa CHADEMA,na hasa utendaji kazi aliouonyesha Dr Slaa.Naamini Chama hiki kinaweza kunifikisha kwenye ndoto yangu ya utumiaji wa rasilimali za nchi kwa faida ya nchi na kupambana na ufisadi.Nimeshindwa kuficha hisia zangu kwa ndugu na jamaa zangu wa karibu.Kuna swali moja huwa wananiuliza ambalo limenishinda kulijibu au huwa nalijibu, lakini si kwa ufasaha.
Swali lenyewe linahusu ratiba ya kampeni ya Dr slaa,wanauliza mbona anakwenda maeneo ambayo alishakwenda?kwa mfano alishakwenda Shinyanga na Mwanza ,lakini mbona bado anakwenda tena, wakati bado kuna maeneo mengine ambayo bado ajakwenda kama Tanga,Pwani,Lindi,Mtwara na Zanzibar.Alipokwenda Tabora mbona hakwenda Sikonge na Urambo?Nimejaribu kutembelea website ya CHADEMA ili niweze kujua ratiba za kampeni za Dr Slaa,lakini sijapata ufafanuzi kwa kuwa website ya CHADEMA,kwa sasa haipatikani.

Wana Jf mwenye maelezo ya kutosha naomba ufafanuzi!

CHADEMA = Watanzania wote. Upo hapa kiushabiki zaidi. Tuweke ratiba uliyonayo tuone kama ina tofauti na yetu...au na yenyewe mmechakachua...Ndivyo mlivyo
 
Hizo ni strategy za kampeni,kwani hujui technics mbalimbali za namna ya kutafuta ushindi.Hata kwenye mechi za mpira wa miguu jamaa wanaweza kucheza nusu uwanja kuwavuta wapinzani wao ili akitoka mshumbulaji afunge kiurahisi,hali kadhalika katika siasa kuna mbinu zake.CHADEMA wanazijua na wamewasoma vizuri wapinzani wake.
 
Mimi ni muumini mkubwa wa utendaji wa CHADEMA,na hasa utendaji kazi aliouonyesha Dr Slaa.Naamini Chama hiki kinaweza kunifikisha kwenye ndoto yangu ya utumiaji wa rasilimali za nchi kwa faida ya nchi na kupambana na ufisadi.Nimeshindwa kuficha hisia zangu kwa ndugu na jamaa zangu wa karibu.Kuna swali moja huwa wananiuliza ambalo limenishinda kulijibu au huwa nalijibu, lakini si kwa ufasaha.
Swali lenyewe linahusu ratiba ya kampeni ya Dr slaa,wanauliza mbona anakwenda maeneo ambayo alishakwenda?kwa mfano alishakwenda Shinyanga na Mwanza ,lakini mbona bado anakwenda tena, wakati bado kuna maeneo mengine ambayo bado ajakwenda kama Tanga,Pwani,Lindi,Mtwara na Zanzibar.Alipokwenda Tabora mbona hakwenda Sikonge na Urambo?Nimejaribu kutembelea website ya CHADEMA ili niweze kujua ratiba za kampeni za Dr Slaa,lakini sijapata ufafanuzi kwa kuwa website ya CHADEMA,kwa sasa haipatikani.

Wana Jf mwenye maelezo ya kutosha naomba ufafanuzi!

 
Hizo ni strategy za kampeni,kwani hujui technics mbalimbali za namna ya kutafuta ushindi.Hata kwenye mechi za mpira wa miguu jamaa wanaweza kucheza nusu uwanja kuwavuta wapinzani wao ili akitoka mshumbulaji afunge kiurahisi,hali kadhalika katika siasa kuna mbinu zake.CHADEMA wanazijua na wamewasoma vizuri wapinzani wake.

yes yaweza kuwa technics lakini - sorry to say this - hata mgawanyo wa mambo ya maendeleo mwisho wa siku utaendana hivyohivyo. kwenye wapiga kura wengi wa chama fulani lazima wasikilizwe zaidi ili waendelee kutoa kura uchaguzi unaofuata.
mimi nafikiri kura ni kura. ratiba ilipangwa vibaya mgombea alipaswa kufika maeneo yote. walikuwa na muda wa kutosha
Lindi na Mtwara kuna wananchi wengi huko watanzania
 
Mimi ni muumini mkubwa wa utendaji wa CHADEMA,na hasa utendaji kazi aliouonyesha Dr Slaa.Naamini Chama hiki kinaweza kunifikisha kwenye ndoto yangu ya utumiaji wa rasilimali za nchi kwa faida ya nchi na kupambana na ufisadi.Nimeshindwa kuficha hisia zangu kwa ndugu na jamaa zangu wa karibu.Kuna swali moja huwa wananiuliza ambalo limenishinda kulijibu au huwa nalijibu, lakini si kwa ufasaha.
Swali lenyewe linahusu ratiba ya kampeni ya Dr slaa,wanauliza mbona anakwenda maeneo ambayo alishakwenda?kwa mfano alishakwenda Shinyanga na Mwanza ,lakini mbona bado anakwenda tena, wakati bado kuna maeneo mengine ambayo bado ajakwenda kama Tanga,Pwani,Lindi,Mtwara na Zanzibar.Alipokwenda Tabora mbona hakwenda Sikonge na Urambo?Nimejaribu kutembelea website ya CHADEMA ili niweze kujua ratiba za kampeni za Dr Slaa,lakini sijapata ufafanuzi kwa kuwa website ya CHADEMA,kwa sasa haipatikani.

Wana Jf mwenye maelezo ya kutosha naomba ufafanuzi!

Ukitaka jibu sahihi kwa nini ameweka nguvu nyingi mikoa ya Mbeya, Shinyanga na Mwanza nenda kaangalie idadi ya wapiga kura kila mkoa katika Website ya NEC. Nilikuwa na maswali kama yako lakini baada ya kuona idadi ya wapiga kura kwa kila mkoa The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage nimegundua wana strategy ya ushindi

Voters Registration

st1\:*{behavior:url(#ieooui) }
Na.
Mkoa
Jumla ya Wapiga Kura katika DB
Uboreshaji Awamu ya Kwanza 2007/2008
Wapiga Kura Wapya
Masahihisho
Waliokufa
1​
ARUSHA
723,874​
73,629
27,798​
1,109
2​
DAR ES SALAAM
1,912,662​
231,547
97,869​
1,476
3​
DODOMA
849,561​
90,122
32,617​
2,910
4​
IRINGA
758,262​
84,201
31,670​
10,183
5​
KAGERA
1,048,294​
133,700
56,244​
10,502
6​
KIGOMA
666,114​
65,136
21,604​
1,383
7​
KILIMANJARO
739,529​
78,129
32,874​
3,803
8​
LINDI
450,620​
61,965
28,574​
2,476
9​
MANYARA
533,894​
49,602
18,357​
905
10​
MARA
752,906​
88,967
33,738​
2,049
11​
MBEYA
1,056,126​
104,272
34,460​
5,566
12​
MOROGORO
988,113​
92,516
36,878​
2,761
13​
MTWARA
658,220​
85,535
39,164​
3,130
14​
MWANZA
1,586,919​
188,679
79,938​
3,795
15​
PWANI
518,841​
48,582
22,686​
1,744
16​
RUKWA
489,289​
61,204
20,067​
1,867
17​
RUVUMA
607,920​
103,120
30,761​
2,775
18​
SHINYANGA
1,380,953​
151,642
53,279​
2,306
19​
SINGIDA
545,074​
62,445
22,753​
1,640
20​
TABORA
840,014​
116,510
39,828​
2,262
21​
TANGA
891,942​
102,562
45,011​
4,519
22​
* ZANZIBAR
15,540​
0
0​
0​


18,014,667
2,074,065
806,170
69,161


 
Madrasa!!!

Huko wana msemo wao "Muislamu mmoja = makafiri 10.

Lakini ataenda tu.

Labda kama inavyo fahamika huyo ni mtu aliyetumwa na kanisa. sasa huko anajua fika hakuna bao. hana chake.

Chadema ni chama cha udini (ukatoliki ) na ukanda (kaskazini)

Pole sana Dr wa ukatoliki. Jitahidi na kanisa lipo nyuma yako
 
Labda kama inavyo fahamika huyo ni mtu aliyetumwa na kanisa. sasa huko anajua fika hakuna bao. hana chake.

Chadema ni chama cha udini (ukatoliki ) na ukanda (kaskazini)

Pole sana Dr wa ukatoliki. Jitahidi na kanisa lipo nyuma yako
pole sana kaka kwa kuwa maskin wa fikra,mbeya,ruvuma,iringa,rukwa,kigoma,morogoro na dodoma,dr slaa kuenda,je mikoa hii ni mikoa ya kaskazin?alafu kuhusu udini hiyo ni kasumba ya ccm nyie ndio muliosema cuf ni chama cha kidin na leo munasema chadema ni chama cha kidin,nyie mukiona chama kinanguvu munakimbilia kusema udin na ukabila wakati ccm ndio munaendekeza udin,mbona zitto kabwe ni muslim na ndiye naibu katibu mkuu wa chadema..sasa angalia ccm safu ya juu ndio utakapoona udin uko wapi?hapa hatui uaskofu wala ushehe,tunachagua kiongozi ambaye anaweza kulinda maslah ya watanzania wote na sio maslah ya wachache..ijumaa njema 2kutane mskitin
 
Back
Top Bottom