Ston Merchant
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 393
- 103
funguka zaidi .....
Kumbe ni malipo kutoka bodi ya korosho?? Huu kweli ni ufisadi.
Walemavu wote wa viungo nchi hii tuanze kwenda na wake/waume/ndugu zetu makazini kama wasaidizi wetu na tudai walipwe mishahara au posho kama mke wa Mudhihir Mudhihir!
Sijawahi kuona sheria ya nchi ikutungwa kwaajili ya mtu mmoja tu!
kwanza mi nashangaa sana huyu mzee kakatika mkono tu, je angekatika na miguu ingekuaje??,
mwenyekiti wa bodi Ana Abdalah acha kumdekeza huyu mwana mtwara mwenzio, sijawai kuskia mlemavu anasaidiwa kwenye kikao!, mbona sikumuona akimsaidia kufanya MITIHANI yake kule Open University??????????
ufisadi mtupu, loh.