Utata wa maisha ya marais wawili wa Marekani (John F Kennedy na Abraham Lincoln)

Source of information please.
Abraham Lincoln alichaguliwa kwenye baraza la wabunge mnamo 1846
John F Kennedy alichaguliwa katika baraza la bunge mnamo mwaka 1946

Abraham lincoln alichaguliwa kuwa rais wa marekan mwaka 1860
John kennedy alichaguliwa kuwa rais wa Marekani mnamo mwaka 1960.

Wote walikuwa wapigania haki za binadamu
Wote walifiwa na mtoto wakiwa wanaishi white house (ikulu ya marekani)
Wote waliuliwa(kupigwa risasi) siku ya ijumaa

chakushangaza zaidi
Secretary wa lincoln alikuwa anaitwa Kennedy
Secretary wa Kennedy alikuwa anaitwa Lincoln Wote mafanikio yao yalichangiwa na watu wanaokaa kusini mwa marekani (southerners)

Wote waliochangia mafanikio yao walikuwa wakijulikana kwa jina moja LA JOHNSON Andrew Johnson aliye msaidia Lincoln kufanikiwa alizaliwa 1808 Lyndon Johnson aliye msaidia Kennedy kufanikiwa alizaliwa mwaka 1908

JOHN WILKES BOOTH aliye muua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 LEE HARVEY OSWALD ambaye alimuua KENNEDY alizaliwa mwaka 1939

Wauaji wote walijulikana kwa majina yao yote matatu Herufi zote za majina yao kila mmoja ni 15 Now Hang on your seat chakushangaza sasa

LINCOLN alipigwa risasi katika eneo linalojulikana kama FORD , KENEDY alipigwa risasi akiwa kwenye gari inaitwa lincoln ambayo ilitengenezwa na kampuni ya ford

=>Wauaji wote BOOTH na OSWARD walipigwa risasi kabla ya kutoroka.

==>Wiki moja kabla LINCOLN hajauliwa alikuwa Monroe,Maryland
Wiki moja kabla ya kuuliwa KENNEDY alikuwa Marilyn Monroe

chakushangaza zaid na zaid Lincol alipigigwa risasi akiwa threater na muuaji aka kimbilia kwenye ghala(warehouse) KENNEDY alipipwa risasi akiwakwenye ghala(warehouse) na muuaji akakimbilia theater
by Cisco
View attachment 1118019View attachment 1118020
 
Abraham Lincoln alichaguliwa kwenye baraza la wabunge mnamo 1846
John F Kennedy alichaguliwa katika baraza la bunge mnamo mwaka 1946

Abraham lincoln alichaguliwa kuwa rais wa marekan mwaka 1860
John kennedy alichaguliwa kuwa rais wa Marekani mnamo mwaka 1960.

Wote walikuwa wapigania haki za binadamu
Wote walifiwa na mtoto wakiwa wanaishi white house (ikulu ya marekani)
Wote waliuliwa(kupigwa risasi) siku ya ijumaa

chakushangaza zaidi
Secretary wa lincoln alikuwa anaitwa Kennedy
Secretary wa Kennedy alikuwa anaitwa Lincoln Wote mafanikio yao yalichangiwa na watu wanaokaa kusini mwa marekani (southerners)

Wote waliochangia mafanikio yao walikuwa wakijulikana kwa jina moja LA JOHNSON Andrew Johnson aliye msaidia Lincoln kufanikiwa alizaliwa 1808 Lyndon Johnson aliye msaidia Kennedy kufanikiwa alizaliwa mwaka 1908

JOHN WILKES BOOTH aliye muua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 LEE HARVEY OSWALD ambaye alimuua KENNEDY alizaliwa mwaka 1939

Wauaji wote walijulikana kwa majina yao yote matatu Herufi zote za majina yao kila mmoja ni 15 Now Hang on your seat chakushangaza sasa

LINCOLN alipigwa risasi katika eneo linalojulikana kama FORD , KENEDY alipigwa risasi akiwa kwenye gari inaitwa lincoln ambayo ilitengenezwa na kampuni ya ford

=>Wauaji wote BOOTH na OSWARD walipigwa risasi kabla ya kutoroka.

==>Wiki moja kabla LINCOLN hajauliwa alikuwa Monroe,Maryland
Wiki moja kabla ya kuuliwa KENNEDY alikuwa Marilyn Monroe

chakushangaza zaid na zaid Lincol alipigigwa risasi akiwa threater na muuaji aka kimbilia kwenye ghala(warehouse) KENNEDY alipipwa risasi akiwakwenye ghala(warehouse) na muuaji akakimbilia theater
by Cisco
View attachment 1118019View attachment 1118020
Marilyn Monroe ni mtu sio sehemu ... Though, hii theory ni creepy ... Same fate.
 
Watu kabla hawajapost uzi humu wawe wanafanya rearch kidogo na kukusanya info kabla.....siyo unatoa stori kwenye group ya whatsapp unaipaste humu....uzi unataarifa nyingi sizo sahihi
 
Jfk alipigwa risasi kwenye gari ambalo juu liko wazi baada ya kupigwa risasi ya kichwa kipande Cha fuvu kikaruka nyuma ya gari mke wake akakichukua.

😐😐😐😐😐
 
Back
Top Bottom