Utata wa maisha ya marais wawili wa Marekani (John F Kennedy na Abraham Lincoln)

Hawa ni maraisi wa marekani (katika nyakati tofauti) maisha yao yanafanana kiasi cha kuwashangaza watu wengi sana

ABRAHAM LINCOLN alichaguliwa kuwa raisi mnamo mwaka 1861 na alijihusisha sana na haki za raia na uhuru wa watu
JOHN KENNEDY
alichaguliwa kuwa raisi mnamo mwaka 1961 alijihusisha sana na haki za raia na uhuru wa watu
Majina KENNEDY na LINCOLN yote yalikua na herufi saba
wake zao wote waliwahi poteza mtoto walipo kuwa wakiishi ikulu
KENNEDY na LINCOLN wote waliuawa kwa kupigwa risasi kichwani siku ya ijumaa

LINCOLN alikua na secretary wake alie itwa KENNEDY (alimuonya asitoke nje siku ya mauaji yake)

Pia KENNEDY alikua na secretary wake alie itwa LINCOLN (alimuonya asitoke ikulu siku ya mauajia yake)

alie chukua uraisi baada ya kifo cha LINCOLN aliitwa JOHNSON hivyo hivyo pia alie chukua uraisi baada ya kifo cha KENNEDY aliitwa JOHNSON
JOHNSON alie kuwa raisi baada ya LINCOLN alizaliwa mwaka 1808
JOHNSON alie kuwa raisi baada ya kifo cha KENNEDY alizaliwa mwaka 1908

JONH WILKAS BOOTH ndio jina la muuaji alie mpiga risasi ABRAHAM LINCOLN alizaliwa mwaka 1839
LEE HARVEY OSWALD ndie muuaji alie mpiga JONH KENNEDY alizaliwa mwaka 1939
hawa wauaji wote wawili walifahamika kwa majina watatu yenye herufi 15
Wauaji wote wawili walitokea america kusini
Wauaji wote wawili walikamatwa lakini waliuawa kabla ya kufikishwa mahakamani

C&PView attachment 1164838
FB_IMG_1564248458590.jpeg
 
Dunia ina maajabu yake ndo maana leo nimekuta kipochi manyoya ambacho hakina kingamuzi kabisa!!
 
Hawa ni maraisi wa marekani (katika nyakati tofauti) maisha yao yanafanana kiasi cha kuwashangaza watu wengi sana

ABRAHAM LINCOLN alichaguliwa kuwa raisi mnamo mwaka 1861 na alijihusisha sana na haki za raia na uhuru wa watu
JOHN KENNEDY
alichaguliwa kuwa raisi mnamo mwaka 1961 alijihusisha sana na haki za raia na uhuru wa watu
Majina KENNEDY na LINCOLN yote yalikua na herufi saba
wake zao wote waliwahi poteza mtoto walipo kuwa wakiishi ikulu
KENNEDY na LINCOLN wote waliuawa kwa kupigwa risasi kichwani siku ya ijumaa

LINCOLN alikua na secretary wake alie itwa KENNEDY (alimuonya asitoke nje siku ya mauaji yake)

Pia KENNEDY alikua na secretary wake alie itwa LINCOLN (alimuonya asitoke ikulu siku ya mauajia yake)

alie chukua uraisi baada ya kifo cha LINCOLN aliitwa JOHNSON hivyo hivyo pia alie chukua uraisi baada ya kifo cha KENNEDY aliitwa JOHNSON
JOHNSON alie kuwa raisi baada ya LINCOLN alizaliwa mwaka 1808
JOHNSON alie kuwa raisi baada ya kifo cha KENNEDY alizaliwa mwaka 1908

JONH WILKAS BOOTH ndio jina la muuaji alie mpiga risasi ABRAHAM LINCOLN alizaliwa mwaka 1839
LEE HARVEY OSWALD ndie muuaji alie mpiga JONH KENNEDY alizaliwa mwaka 1939
hawa wauaji wote wawili walifahamika kwa majina watatu yenye herufi 15
Wauaji wote wawili walitokea america kusini
Wauaji wote wawili walikamatwa lakini waliuawa kabla ya kufikishwa mahakamani

C&PView attachment 1164838View attachment 1164839
nakubali sana hii historia imelandana kila kitu
 
Chief, hii habari inajulikana mno duniani. I bet 95% ya wana JF wanaifahamu.
Kama kwako ni habari ngeni, pole.
Kwa kawaida habari zinazojulikana sana kwa wengi huwa hazina mvuto. Leta vitu vipya Chief.
Sio wote mkuu, mimi naifahamu lakini nina uhakika kuna watu walikuwa hawaijui
 
Source of information!
Hawa ni maraisi wa marekani (katika nyakati tofauti) maisha yao yanafanana kiasi cha kuwashangaza watu wengi sana

ABRAHAM LINCOLN alichaguliwa kuwa raisi mnamo mwaka 1861 na alijihusisha sana na haki za raia na uhuru wa watu
JOHN KENNEDY
alichaguliwa kuwa raisi mnamo mwaka 1961 alijihusisha sana na haki za raia na uhuru wa watu
Majina KENNEDY na LINCOLN yote yalikua na herufi saba
wake zao wote waliwahi poteza mtoto walipo kuwa wakiishi ikulu
KENNEDY na LINCOLN wote waliuawa kwa kupigwa risasi kichwani siku ya ijumaa

LINCOLN alikua na secretary wake alie itwa KENNEDY (alimuonya asitoke nje siku ya mauaji yake)

Pia KENNEDY alikua na secretary wake alie itwa LINCOLN (alimuonya asitoke ikulu siku ya mauajia yake)

alie chukua uraisi baada ya kifo cha LINCOLN aliitwa JOHNSON hivyo hivyo pia alie chukua uraisi baada ya kifo cha KENNEDY aliitwa JOHNSON
JOHNSON alie kuwa raisi baada ya LINCOLN alizaliwa mwaka 1808
JOHNSON alie kuwa raisi baada ya kifo cha KENNEDY alizaliwa mwaka 1908

JONH WILKAS BOOTH ndio jina la muuaji alie mpiga risasi ABRAHAM LINCOLN alizaliwa mwaka 1839
LEE HARVEY OSWALD ndie muuaji alie mpiga JONH KENNEDY alizaliwa mwaka 1939
hawa wauaji wote wawili walifahamika kwa majina watatu yenye herufi 15
Wauaji wote wawili walitokea america kusini
Wauaji wote wawili walikamatwa lakini waliuawa kabla ya kufikishwa mahakamani

C&PView attachment 1164838View attachment 1164839
 
Back
Top Bottom