Hapa ni mbona rahisi?
Magufuli amtake Mkapa ajisafishe dhidi ya kashfa ya kumuua Nyerere iliyotolewa hadharani na Vincent Nyerere.
Akishindwa sisi tunaendelea kumwamini Vincent kuwa Mkapa alihusika
Mkapa ni wa kufungulia kesi ili hatueleze Mwalimu yuko wapi
swissme
Toa upuuzi wa ki NyumbuYaliyo mkuta nyerere yanafanana na Lowassa ingawa lowassa aliwahi mapema kuiokoa afya yake, kwani sababu kubwa inajulikana wazi Nyerere angeunga mkono Upinzani Mwaka 2000 baada ya kuona chama chake kiko tofauti na anacho simamia.
Lowassa naye ndivyo hivyo, iligundulika anafadhili upinzani ili akikatwa ahamie upinzani, ndiyo chanzo cha afya yake kuwa vile.
Chezeaa Tiss wewe
Kati ya punguani vincent na msomi Mkapa tumuamini nani?Magufuli huo ujasiri wa Kumgusa Mkapa atautoa wapi ??? Vitu vingine tuongee tu ili midomo isinuke ila utekelezaji wa hilo ni almost impossible
Mbona Dk Magufuli nae alitumiwa Email na Dk Kigoda wakati alipokua ICU. !
Mbona Dk Magufuli nae alitumiwa Email na Dk Kigoda wakati alipokua ICU. !
Kati ya punguani vincent na msomi Mkapa tumuamini nani?
Mbona Dk Magufuli nae alitumiwa Email na Dk Kigoda wakati alipokua ICU. !
Kati ya punguani vincent na msomi Mkapa tumuamini nani?
Baada ya Nyerere kuwaondolea Usiku walikuja kupora Rasilimali za Tanzania maana aliyekuwa na uwezo wa kuthubutu kukemea alikuwa keshakufa kifo cha maksudi.Baada ya kufa Nyerere siku inayofuata Mawaziri Kumi pamoja na Rais wao Mbeki walikuja Tanzania..yule mwandishi wa Daily Times sio mnafiki alihoji uhalali wa kundi kubwa kuivamia Tanzania..Still lile gazeti ninalo..nadhani kuna kitu hapo sio bure..wewe unaejifanya unataka ushahidi wa kuanzia anza na hao waliokuja kupanga uwizi wa Rasilimali zetu anza na Mbeki na jopo lake..
uko sahihi...mkapa na msekwa wakamatwe wateswe mpaka waseme ukweli nyerere yuko wapi