Utata wa kifo cha muasisi wa FRELIMO na kuibuka kwa Samora Machel

Nadhani tunaongea lugha moja. Mfano lazima uanzie kwa kiongozi. Kama yeye ni mla bata, bila shaka wapiganaji watakuwa hivyo hivyo. Kwa nini wafe wakati wanajua kiongozi wao ni mpenda starehe? Angekuwa nao bega kwa bega, wangepata morali ya mapigano na kuwa tayari kujitolea.

Nadharia hii ni sawa na vita ya rushwa hapa kwetu Tanzania. Tusidanganyane hata siku moja. Wadogo hawali rushwa kama wakubwa hawafanyi hivyo. Na kama wadogo wakijaribu kufanya hivyo, kazi ya kuwadhibiti ni rahisi kama wakubwa wapo safi.
Yah, you're right lakini niliwalenga zaidi wapiganaji kuliko Kabila kutokana na ukweli kwamba, kila tour ambayo Che Guevara alikuwa anaifanya; kuanzia ile ya kwanza kabisa wakati akiwa mwanafunzi ya kutoka kwao Argentina hadi Miami na ile tour yake ya mwisho kwenda Bolivia; zote hizi alikuwa anaziandikia memoirs/biography. Na kwenye memoir yake kuhusu Congo, hakutafuna maneno, alisema wazi kwamba walishindwa kwa sababu ya incompetence of rebel fighters.
 
Yah, you're right lakini niliwalenga zaidi wapiganaji kuliko Kabila kutokana na ukweli kwamba, kila tour ambayo Che Guevara alikuwa anaifanya; kuanzia ile ya kwanza kabisa wakati akiwa mwanafunzi ya kutoka kwao Argentina hadi Miami na ile tour yake ya mwisho kwenda Bolivia; zote hizi alikuwa anaziandikia memoirs/biography. Na kwenye memoir yake kuhusu Congo, hakutafuna maneno, alisema wazi kwamba walishindwa kwa sababu ya incompetence of rebel fighters.

Bado tunaongea lugha moja Mkuu. Rebel fighters without proper leadership hamna kitu. Angalia hao rebel fighters wanatoka wapi? Huwa ni watu humble mara nyingi toka vijijini wenye elimu duni mara nyingi. Fidel na Che waliliona hilo toka wakiwa Sierra Maestra kwenye mapinduzi ya Cuba. Rebel fighters wanahitaji insipiration na uongozi wa mfano hasa siku za mwanzo kujenga nidhamu stahiki. incompetence ya rebel fighters wa Congo ilitokana na uongozi mbovu toka mwanzo. Ingekuwa vigumu wao wenyewe kujenga nidhamu au kuwa competent bila uongozi imara. Rebel fighters wa Colombia wamedumu miaka almost hamsini kwa sababu viongozi walichukua funzo hilo. Wamekuwa na watu wao bega kwa bega karibia miaka yote.
 
Bado tunaongea lugha moja Mkuu. Rebel fighters without proper leadership hamna kitu. Angalia hao rebel fighters wanatoka wapi? Huwa ni watu humble mara nyingi toka vijijini wenye elimu duni mara nyingi. Fidel na Che waliliona hilo toka wakiwa Sierra Maestra kwenye mapinduzi ya Cuba. Rebel fighters wanahitaji insipiration na uongozi wa mfano hasa siku za mwanzo kujenga nidhamu stahiki. incompetence ya rebel fighters wa Congo ilitokana na uongozi mbovu toka mwanzo. Ingekuwa vigumu wao wenyewe kujenga nidhamu au kuwa competent bila uongozi imara. Rebel fighters wa Colombia wamedumu miaka almost hamsini kwa sababu viongozi walichukua funzo hilo. Wamekuwa na watu wao bega kwa bega karibia miaka yote.
You're right lakini pia tusisahau kwamba role ya Kabila ilikuwa ni more logistic role-- kuhakikisha necessary supplies zinapatikana na pale panapohitajika back up mahitaji yanakuwa fulfilled. Na katika role yake hii, ndipo ambapo Che Guevara alimuona Kabila kama mtu ambae hakuwa serious na mapinduzi kwa sababu, kwa maneno yake mwenyewe, Che alisema bayana kwamba Kabila hakuwa mtu wa ku-keep time "wasn't a man of hour!" Kwamba, anaweza kuhitajika kupeleka supplies au back up lakini akachelewesha! Sasa ukiangalia vizuri hapo unaweza kukuta kumbe tatizo lilikuwa ni msuguano wa desturi mbili tofauti-- dasturi za kiafrika ambazo suala la muda kwao hawajali na tamaduni za "kizungu" ambazo ni rahisi sana kuona mtu asiye-keep time ni mtu asiye serious na anachofanya!!!

Lakini kwa upande mwingine tusisahau by the time Kabila bado alikuwa during foolish age coz' he's only 26 wakati Che Guevara alikuwa 37... matured enough! Kwahiyo u-stupid wa Kabila wala usingemsumbua!! Hawa Rebel Fighters sidhani kama walitarajia kumuona ona Kabila eneo la tukio kutokana na role ambayo alikuwa nayo Kabila kwenye harakati zile. Lakini kwa upande mwingine, tusisahau kwamba tabia hizo za Rebel Fighters sio ngeni hadi Afrika hii ya 21 st century! Hadi leo, popote unapokutana na African Rebel Fighters, basi nyuma yake kumejaa ushenzi ulio kinyume kabisa na harakati kusudiwa!
 
You're right lakini pia tusisahau kwamba role ya Kabila ilikuwa ni more logistic role-- kuhakikisha necessary supplies zinapatikana na pale panapohitajika back up mahitaji yanakuwa fulfilled. Na katika role yake hii, ndipo ambapo Che Guevara alimuona Kabila kama mtu ambae hakuwa serious na mapinduzi kwa sababu, kwa maneno yake mwenyewe, Che alisema bayana kwamba Kabila hakuwa mtu wa ku-keep time "wasn't a man of hour!" Kwamba, anaweza kuhitajika kupeleka supplies au back up lakini akachelewesha! Sasa ukiangalia vizuri hapo unaweza kukuta kumbe tatizo lilikuwa ni msuguano wa desturi mbili tofauti-- dasturi za kiafrika ambazo suala la muda kwao hawajali na tamaduni za "kizungu" ambazo ni rahisi sana kuona mtu asiye-keep time ni mtu asiye serious na anachofanya!!!

Lakini kwa upande mwingine tusisahau by the time Kabila bado alikuwa during foolish age coz' he's only 26 wakati Che Guevara alikuwa 37... matured enough! Kwahiyo u-stupid wa Kabila wala usingemsumbua!! Hawa Rebel Fighters sidhani kama walitarajia kumuona ona Kabila eneo la tukio kutokana na role ambayo alikuwa nayo Kabila kwenye harakati zile. Lakini kwa upande mwingine, tusisahau kwamba tabia hizo za Rebel Fighters sio ngeni hadi Afrika hii ya 21 st century! Hadi leo, popote unapokutana na African Rebel Fighters, basi nyuma yake kumejaa ushenzi ulio kinyume kabisa na harakati kusudiwa!
Sawa mkuu.
My observations ziko based kwenye kitabu cha Fidel Castro aliyepitia muda ambao Che alikuwa Afrika. Fidel alitumia diary ya Che mwenyewe kwa siku hizo.
Role ya Kabila kwa maelezo yao haikuwa logistics. Alikuwa ndiyo kiongozi wa mapinduzi hayo. Angekuwa mtu wa logistics lazima pangekuwa na kiongozi mwingine either msituni au Kigoma au Dar.
Kabila walikutana na Che kwenye mkutano mmoja kama nakumbuka vizuri ilikuwa Misri. By that time Che alikuwa impressed na Kabila only to be disappointed kwenye ground!
 
Tatizo la huyu kijana mara nyingi ni ukurupukaji. Hapa ni sawa na kusema kifo cha Com. Josiah Tongogara kilipangwa na Robert Mugabe. Sina uhakika kama Yericko ana habari za Casimiro Monteiro.
Hapo unatatizo na mtu sio mada, oook fungua uzi umjadili Yericko na ukurupukaji wake,

Hapa jadili mada mkuu
 
..utata hauko kwenye kifo cha Dr.Mondlane.

..kuna utata wa jinsi Samora alivyochukua madaraka ya kuongoza Frelimo.

..aliyetakiwa kuchukua nafasi ya Mondlane alikuwa ni makamu wa raisi wa Frelimo akiitwa Uria Simango.

..inasemekana yalifanyika "mapinduzi" ambayo yalimuondoa Simango na kumsimika Samora kama raisi wa Frelimo.

..Uria Simango aliwekwa kizuizini na wenzake na hatimaye yeye na mke wake kuuwawa baada ya kupata uhuru.

..haijulikani kaburi la Uria Simango liko wapi. kuna uvumi kwamba wenzake walimzika Tanzania ktk moja ya makambi yao.

NB:

..Pia kuna mkuu wa majeshi ya Frelimo Fillipe Magaia aliuawa na nafasi yake ndiyo ikachukuliwa Samora Machel.

cc Jasusi, Yericko Nyerere
 
..utata hauko kwenye kifo cha Dr.Mondlane.

..kuna utata wa jinsi Samora alivyochukua madaraka ya kuongoza Frelimo.

..aliyetakiwa kuchukua nafasi ya Mondlane alikuwa ni makamu wa raisi wa Frelimo akiitwa Uria Simango.

..inasemekana yalifanyika "mapinduzi" ambayo yalimuondoa Simango na kumsimika Samora kama raisi wa Frelimo.

..Uria Simango aliwekwa kizuizini na wenzake na hatimaye yeye na mke wake kuuwawa baada ya kupata uhuru.

..haijulikani kaburi la Uria Simango liko wapi. kuna uvumi kwamba wenzake walimzika Tanzania ktk moja ya makambi yao.

NB:

..Pia kuna mkuu wa majeshi ya Frelimo Fillipe Magaia aliuawa na nafasi yake ndiyo ikachukuliwa Samora Machel.

cc Jasusi, Yericko Nyerere
Ni ukweli mchungu, na hili Mwalimu Nyerere alijua kuwa ni ukweli mchungu.

Nilikuwa na maana halisi ya kuanzisha mada hii
 
good news
from CHE..hapa napata picha kuwa viongoz wa Africa ni tamaa za madaraka zipo mbele....
hii upelekea kutafuna mali za raia bila huruma...kabila hakuwa mwana mapinduz wa kweli
 
Back
Top Bottom