Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Joseph kasoma Sekondari Tanzania na hata Mafunzo ya JKT kayapatia hapa hapa Tanzania akisomeka Kama kijana wa Kitanzania lakin Leo ndio Rais wa Congo, hata Nkurunzinza Mama yake Mzazi Makazi yake ya Kudumu yapo Kigoma!

Joseph mpaka anakuwa Rais wa Congo alikuwa anakijua vyema sana Kiswahili cha Dar Es salam lakin Lugha ya kwao (Kilingala) alikuwa hakijui kwa kuwa Maisha yake yote alikuwa huku Tanzania, Kama Leo Hii anaongea Lingala itakuwa kajifunza akiwa Rais


Joseph Kabila kasoma Forodhani Sekondari
 
mweshimiwa amekufa tarehe saba mwezi wa nne, swali; maonyesho ya sabasaba yanahusikaje hapa? mbona mnapotezea swali la msingi?
[quote uid=263902 name="Wissman" post=25034200]lakini sio mwezi wa nne mkuu[/QUOTE]<br />

Jaribu kufatilia kumbukumbu zako siku iz kuna Google hebu jaribu fuatilia Kwanzaa dk ally alifariki lini ndo maana nakwambia vitu vidogo hvyo ungeacha tu utajiharibia
 
kwa kumbukumbu zangu,yalikuwa ni maonesho ya saba saba mnamo mwaka 2001 ambapo Rais Kabila alialikwa na museveni PLUS viongozi wengine. kama unakumbuka, mwaka huo ndo kipindi majeshi ya Uganda na Rwanda walikuwa vitani nchini DRC.

Kuna issues nyingi za kidiplomasia zilikuwa haziendi vizuri ingawa zilikuwa hazitangazwi na Raia wa kawaida walikuwa hawawezi kujua. ili Congo iweze kuwa na Amani, Museveni hakutakiwa kuwepo kwani ndo alikuwa threat.

hata hivyo, mwaka 2000 majeshi ya uganda na rwanda walishazipiga wakiwa kwenye ardhi ya DRC...na PK alinukuliwa akisema..."kwamba M7 anamdharau, then atamuonyesha kuwa siyo tena bwana mdogo". ndo mpango ulipofanyika wa kumuua M7...na wakatega sumu kwenye Mic! simkumbuki mzungumzaji aliyetangulia...but ilikuwa ni zamu ya Museveni.

wakati M7 anajiandaa kutoa speech, bodyguard wake aliitoa ile mic kwa speed ya RADI na kuchomeka mic nyingine aliyokuwa nayo mfukoni. after speech, akarudishia ile ya awali. aliyefuata kutoa speech akawa DR. Omary ALLI JUMA...picha likaishia hivyo. Ila intelligencia ya tz ni ya kiboya haswa.
 
Jamani tuweni serious hivi Rais wa nchi nyingine apangwe kumalizwa kwenye nchi ya kigeni tena Kwa chakula cha sumu then chakula kibadilishwe ale mtu mwingine, hakukuwa na mpango huo na wala isingewezekana kwasababu ya mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia ambao ungeweza kusababisha hata vita kati ya nchi mbili punguzeni propaganda
 
Jamani tuweni serious hivi Rais wa nchi nyingine apangwe kumalizwa kwenye nchi ya kigeni tena Kwa chakula cha sumu then chakula kibadilishwe ale mtu mwingine, hakukuwa na mpango huo na wala isingewezekana kwasababu ya mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia ambao ungeweza kusababisha hata vita kati ya nchi mbili punguzeni propaganda
It doesnt come
 
HNIC teacher hakuuliwa na mmakua.... lile kundi hatari lililowania mamlaka walijitahidi sana kutumia akili kutengeneza mazingira ili ionekane mmakua ndo alihusika ila si kweli.

Habari ya mwalimu Butiama ilianza na prof David mwakyusa aliyekua mganga wake na kuhitimishwa na muuguzi au mwangalizi wake pale St Thomas London ambae ni Kingunge Ngombale mwiru!!

Connect dots kwa Mwakyusa na Kingunge kuzawadiwa mamlaka mara tuuu baada ya Boys2Men kumwangusha mmakua pale Chimwaga....

Habari ni ndefu ila tunamezea tu.
Mmeto siyo mmakuwa.
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
1972 alikua nani
 
Mkuu kuna watu ni untouchable ukiwagusa basi utaumia au utaumizwa na wenyenchi ujawahi kusikia huko kwamba askofu anatawala nchi watu wakalalamika ili kubalance wazee wa system wakaja na BAKWATA hivi ushajiuliza kwa nini Sheikh Ponda halitaki wala haelewani na BAKWATA ? Hicho chombo kiliundwa na ccm kuwaada waislamu huko.
wakikumbuka jumuia tano za CCM basi watakuelewa.
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
1999 tulimpoteza Mzee Mchonga, aliondoka kwenda London akiwa salama salmini alirudi akiwa kwenye coffin box
 
Back
Top Bottom