anna bubelwa
Member
- Mar 12, 2013
- 40
- 10
Habari zenu, mi nina swali limenichanga katika upande wa PPRA post ya Procurement Officer ii. Wakati wanashortlist majina ya written walisema watakaofaulu written interview tarehe 6 yani kesho, wataendelea na oral. But chakushangaza juzi walishortlist majina ya oral wanasema tutajulishwa tarehe ya mahojiano so which is which nisaidieni, kwa hiyo kesho ni interview au mpk tutakapojulishwa na eneo la interview ni wap?
Asanteni
Asanteni