Utata uliojificha kuhusu Corona

Utata uliojificha kuhusu Corona

steve_shemej

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,182
Reaction score
1,596
Kwa kipindi kirefu nilikuwa najiuliza Corona ni kirusi au bacteria?

Niliposikia kuwa ni kirusi nikashangaa kirusi kinasambaaje kwa njia ya hewa? Na Kama ni kweli inamaana dunia nzima tungeangamia?

Pia ukipata Corona hupewi dawa ila baada ya muda unakuwa sawa endapo ukakaa sehemu yenye joto hapo nikapata mkanganyiko kuwa huenda Corona ni bacteria.

Na ukipiga hesabu watu walioambukizwa corona wote duniani 0.02% ndiyo wamefariki na waliofariki wengi ni wazee na wenye magonjwa na afya dhahifu waliobaki hawajafa.

Pia ukichukua takwimu mpaka Sasa waafrica waliofariki hawafiki 200 tofauti na mabara mengine.

Nilichogundua Corona ni aina fulani ya mafua inayoshambulia kwa Kasi maeneo yenye baridi ndiyo maana idadi ya waliokufa Africa ni ndogo

Pia Kuna watu walikuza story kuhusu corona ili kuleta taharuki pengine wanafaidika na taharuki hiyo

Kiukweli Bado nachunguza Kama Corona ni kirusi na kama kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa? Na je kirusi huwa hakifi huishi kutokana na mazingira iweje kunawa maji kuwa suluhisho la Corona?

Na je kwanini tunaambiwa tusivae mask kama siyo wagonjwa wakati ni vigumu kumtambua mgonjwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kipindi kirefu nilikuwa najiuliza corona ni kirusi au bacteria?
Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa?
Korona haienei kwa njia ya hewa. Corona ni vijidudu vinavyoishi katika mazingira ya baridi. Vimelea vya corona haviishii katika mazingira ya joto.
 
coronavirus analeta respiratory infections – like the common cold and flu called SARS-CoV-2
Na COVID-19
Kuna wagonjwa hapa tz wana SARS-CoV-2 nayo ni coeonavirus ila sio Covid-19.
Watu wengi wanasema wamepata maambukizi ila ni
SARS-CoV-2.
 
Kwa kipindi kirefu nilikuwa najiuliza corona ni kirusi au bacteria?

Niliposkia kuw ni kirusi nikashangaa kirusi kinasambaaje kwa njia ya hewa? Na Kama ni kweli inamaana dunia nzima tungeangamia?


Pia ukipata corona hupewi dawa ila baada ya muda unakuwa sawa endapo ukakaa sehemu yenye joto hapo nikapata mkanganyiko kuwa huenda corona ni bacteria


Na ukipiga hesabu watu walioambukizwa corona wote duniani 0.02% ndiyo wamefariki na waliofariki wengi ni wazee na wenye magonjwa na afya dhahifu waliobaki hawajafa

Pia ukichukua takwimu mpaka Sasa waafrica waliofariki hawafiki 200 tofauti na mabara mengine


Nlichogundua corona ni haina furani ya mafua inayo shambulia kwa Kasi maeneo yenye baridi ndiyo maana idadi ya waliokufa Africa ni ndogo

Pia Kuna watu walikuza story kuhusu corona ili kuleta taharuki pengine wanafaidika na taharuki hiyo


Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa? Na je kirusi huwa hakifi huishi kutokan na mazingira iweje kunawa maji kuwa suruhisho la corona? Na je kwa Nini tunaambiwa tusivae maski kma siyo wagonjwa wakati nivigumu kumtambua mgonjwa.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona Haisambazwi kwa njia ya Hewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maajabu mengine ni haya , waliojitangaza wenyewe kwamba wana corona kama Mwana FA hawajaongezwa kwenye orodha !
Walitajwa asubuhi kuwa mtanzania mmoja alikuwa ametokea south africa(mwana FA ndiye alikuwa south)
Mwingine alitembelea France,sweeden na Denmark(Salam sk ndiye alitembelea huko akiwa na Diamond) hizo taarifa zilitolewa asubuhi.
Mwana fa alijitangaza baadae, so waliojitangaza ndio hao taarifa zao zilitolewa na namlaka. Sidhani mtu tu akurupuke kujitangaza bila taarifa/ruhusa ya mamlaka.
Hata mimi nilipata mkanfanyiko ila nilivokuja kuirejea ripoti ya asubuhi ndio nikaekewa.
 
Back
Top Bottom