Utata uliojificha kuhusu Corona

Utata uliojificha kuhusu Corona

Walitajwa asubuhi kuwa mtanzania mmoja alikuwa ametokea south africa(mwana FA ndiye alikuwa south)
Mwingine alitembelea France,sweeden na Denmark(Salam sk ndiye alitembelea huko akiwa na Diamond) hizo taarifa zilitolewa asubuhi.
Mwana fa alijitangaza baadae, so waliojitangaza ndio hao taarifa zao zilitolewa na namlaka. Sidhani mtu tu akurupuke kujitangaza bila taarifa/ruhusa ya mamlaka.
Hata mimi nilipata mkanfanyiko ila nilivokuja kuirejea ripoti ya asubuhi ndio nikaekewa.
How did you know that ? kama wengine wanatajwa hawa kwanini wafichwe ? hivi unamfahamu vizuri Mwana FA ?
 
Kwa kipindi kirefu nilikuwa najiuliza corona ni kirusi au bacteria?

Niliposkia kuw ni kirusi nikashangaa kirusi kinasambaaje kwa njia ya hewa? Na Kama ni kweli inamaana dunia nzima tungeangamia?


Pia ukipata corona hupewi dawa ila baada ya muda unakuwa sawa endapo ukakaa sehemu yenye joto hapo nikapata mkanganyiko kuwa huenda corona ni bacteria


Na ukipiga hesabu watu walioambukizwa corona wote duniani 0.02% ndiyo wamefariki na waliofariki wengi ni wazee na wenye magonjwa na afya dhahifu waliobaki hawajafa

Pia ukichukua takwimu mpaka Sasa waafrica waliofariki hawafiki 200 tofauti na mabara mengine


Nlichogundua corona ni haina furani ya mafua inayo shambulia kwa Kasi maeneo yenye baridi ndiyo maana idadi ya waliokufa Africa ni ndogo

Pia Kuna watu walikuza story kuhusu corona ili kuleta taharuki pengine wanafaidika na taharuki hiyo


Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa? Na je kirusi huwa hakifi huishi kutokan na mazingira iweje kunawa maji kuwa suruhisho la corona? Na je kwa Nini tunaambiwa tusivae maski kma siyo wagonjwa wakati nivigumu kumtambua mgonjwa.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unashangaa Corona kuambukizwa na Virus wakati hata mafua ya kawaida yanasababishwa na Virus na yanaambukiza kwa njia ya hewa?

Influenza Virus ndio causative agent wa Mafua

Nini kimekushangaza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kipindi kirefu nilikuwa najiuliza corona ni kirusi au bacteria?

Niliposkia kuw ni kirusi nikashangaa kirusi kinasambaaje kwa njia ya hewa? Na Kama ni kweli inamaana dunia nzima tungeangamia?


Pia ukipata corona hupewi dawa ila baada ya muda unakuwa sawa endapo ukakaa sehemu yenye joto hapo nikapata mkanganyiko kuwa huenda corona ni bacteria


Na ukipiga hesabu watu walioambukizwa corona wote duniani 0.02% ndiyo wamefariki na waliofariki wengi ni wazee na wenye magonjwa na afya dhahifu waliobaki hawajafa

Pia ukichukua takwimu mpaka Sasa waafrica waliofariki hawafiki 200 tofauti na mabara mengine


Nlichogundua corona ni haina furani ya mafua inayo shambulia kwa Kasi maeneo yenye baridi ndiyo maana idadi ya waliokufa Africa ni ndogo

Pia Kuna watu walikuza story kuhusu corona ili kuleta taharuki pengine wanafaidika na taharuki hiyo


Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa? Na je kirusi huwa hakifi huishi kutokan na mazingira iweje kunawa maji kuwa suruhisho la corona? Na je kwa Nini tunaambiwa tusivae maski kma siyo wagonjwa wakati nivigumu kumtambua mgonjwa.?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwamba wajiuliza Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa?. Ebu pitia makala ifuatayo huenda ikakupa mwanga kiasi kuhusu COVID 19, kirusi cha CORONA.

I highly recommend you guys take the time to watch this video before they remove it from the internet

 
Kwamba wajiuliza Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa?. Ebu pitia makala ifuatayo huenda ikakupa mwanga kiasi kuhusu COVID 19, kirusi cha CORONA.

I highly recommend you guys take the time to watch this video before they remove it from the internet

Kama hiyo "link" hafunguki jaribu hii hapa
 
Mkuu, kwa maelezo ya wataalamu Covid 19 haienezwi kwa njia ya hewa bali majimaji yanayopatikana mdomoni, puani n.k na ndio maana unaambiwa ukikohoa uzibe ili usiruhusu vimelea kutoka kwa njia ya mate/majimaji ya puani.
 
Watanzania tupo nyuma sanaa juu ya uelewa wa huu ugonjwa.
 
  • Thanks
Reactions: TIM
How did you know that ? kama wengine wanatajwa hawa kwanini wafichwe ? hivi unamfahamu vizuri Mwana FA ?
Nimeshakwambia kilichopelekea nijue ni wao ni simple kwa sababu hao ndio walikuwa kwenye hizo nchi na wenyewe wamethibitisha kuwa wana COVID-19, sasa unapata tabu vipi kuanza kufikiri hawa ni wapya sio wale waliotangazwa na mamlaka asubuhi.

Walichofichwa kipi?
Kwani wale wengine walipotajwa tulitajiwa majina yao. Si tuliambiwa tu uraia wao.
Msipende kufikilia kisiasa kila pahala.
 
Kwa kipindi kirefu nilikuwa najiuliza corona ni kirusi au bacteria?

Niliposkia kuw ni kirusi nikashangaa kirusi kinasambaaje kwa njia ya hewa? Na Kama ni kweli inamaana dunia nzima tungeangamia?


Pia ukipata corona hupewi dawa ila baada ya muda unakuwa sawa endapo ukakaa sehemu yenye joto hapo nikapata mkanganyiko kuwa huenda corona ni bacteria


Na ukipiga hesabu watu walioambukizwa corona wote duniani 0.02% ndiyo wamefariki na waliofariki wengi ni wazee na wenye magonjwa na afya dhahifu waliobaki hawajafa

Pia ukichukua takwimu mpaka Sasa waafrica waliofariki hawafiki 200 tofauti na mabara mengine


Nlichogundua corona ni haina furani ya mafua inayo shambulia kwa Kasi maeneo yenye baridi ndiyo maana idadi ya waliokufa Africa ni ndogo

Pia Kuna watu walikuza story kuhusu corona ili kuleta taharuki pengine wanafaidika na taharuki hiyo


Kiukwel Bado nachunguza Kama corona ni kirusi na kma kirusi kinaeneaje kwa njia ya hewa? Na je kirusi huwa hakifi huishi kutokan na mazingira iweje kunawa maji kuwa suruhisho la corona? Na je kwa Nini tunaambiwa tusivae maski kma siyo wagonjwa wakati nivigumu kumtambua mgonjwa.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kuambiwa tusivae maski wakati so mgonjwa ni huku kwetu Tanzania tu.

Kuvaa maski maana yake ni kujilinda na wale walipata huu ugonjwa,

Mgonjwa was Corona akienda chafya anaweza kuwambukia watu wengine kwani anaacha virusi kwenye hewa,..

Mtu akivaa maski anaepuka kuvuta hewa yenye virusi, China na nchi nyengine zilizoathirika na huu ugonjwa watu wote wanavaa maski mitaani.
 
Back
Top Bottom