Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,183
- 261
Wanjanvi!
Heshima kwenu.
Kuna jamaa Yangu aliagiza Gari ya mizigo Nissan Datsun. Assessment ya kwanza ya kodi ilikuwa 6.9mil. Final asasesment kodi ikawa 7.2mil. Sasa cha ajabu kuwa tulikuwa instructed na TRA kudiposit hiyo ongezeko LA 300k kwenye account tofauti na tuliyolipa ile figure ya first assesment yaani 6.9mil. Nilichojiuliza ni kuwa kwa nini amount zote zisiwe na control no. Moja kwa kuwa alilipwa client mmoja. Na kama walifanya final asesment wakaona kuwa kodi ya awali ilikuwa no ndogo, kwa mini kiasi hicho kilichoongezwa kililipwa kwenye account tofautii!?
Jambo hili sikuelewa mantiki take nikahisi kuna kit kulichojificha nyuma yake.
Au wanasema tu piga hao kodi Fulani tupate hela ya kufanya kitu x&y kwa hiyo tunibiwa bila kujua wala kuhoji
Najua kuwa kuna mtaalam Wa hay a mambo anaweza kutusaidia ufafanuzi.
Asanteni
Heshima kwenu.
Kuna jamaa Yangu aliagiza Gari ya mizigo Nissan Datsun. Assessment ya kwanza ya kodi ilikuwa 6.9mil. Final asasesment kodi ikawa 7.2mil. Sasa cha ajabu kuwa tulikuwa instructed na TRA kudiposit hiyo ongezeko LA 300k kwenye account tofauti na tuliyolipa ile figure ya first assesment yaani 6.9mil. Nilichojiuliza ni kuwa kwa nini amount zote zisiwe na control no. Moja kwa kuwa alilipwa client mmoja. Na kama walifanya final asesment wakaona kuwa kodi ya awali ilikuwa no ndogo, kwa mini kiasi hicho kilichoongezwa kililipwa kwenye account tofautii!?
Jambo hili sikuelewa mantiki take nikahisi kuna kit kulichojificha nyuma yake.
Au wanasema tu piga hao kodi Fulani tupate hela ya kufanya kitu x&y kwa hiyo tunibiwa bila kujua wala kuhoji
Najua kuwa kuna mtaalam Wa hay a mambo anaweza kutusaidia ufafanuzi.
Asanteni