Inategemea una data gani. Kama una stoku anzia kwa kila bidhaa, na pia kama huwa unazo rekodi za manunuzi (kwa maana ya lini, ulinunua bidhaa gani, ngapi na kwa gharama gani) naweza nikakupatia programu ya bure ambayo utaingiza hizo data kisha utafanya stocktake utaingiza stock ishia, kisha itakupa mauzo kwa kipindi chote hicho na faida ghafi.