Utata kwenye hesabu

donocean

Member
Jan 10, 2019
71
44
Hali vipi Wadau!
Nilitaka kujua namna ya kupiga hesabu duka la reja reja, yaani kujua faida iko vipi kama umeweka msimamizi. Hesabu haijapigwa tokea mwaka jana mwezi wa kwanza na kama tunavyojua in simple words kuwa kupata faida = mapato - matumizi.
Lakin naona kwenye duka la reja reja kuna mkanganyiko kidogo kwa kuwa vitu vinauzwa kimoja kimoja na mda mwingine nusu kabisa au kwa lita sasa ukichukua mapato toa matumizi kunauwezekano wa kuover or under estimate profit.

Sas nilitaka kujua namn bora ya kupiga hesabu duk la reja reja kwa kipindi hicho na uzingatifu wa vipimo vyote kipindi cha mauzo. Na kumbuka muuzaji alikuwa akiandika jumla ya mapato na matumizi ya kila siku.
 
Biashara ya duka ni stoo,kwa hiyo njia zote zilizofanyiwa utafiti na kutumika katika stoo zinatakiwa zitumike kwenye duka....ili kuepuka hasara.
 
Inategemea una data gani. Kama una stoku anzia kwa kila bidhaa, na pia kama huwa unazo rekodi za manunuzi (kwa maana ya lini, ulinunua bidhaa gani, ngapi na kwa gharama gani) naweza nikakupatia programu ya bure ambayo utaingiza hizo data kisha utafanya stocktake utaingiza stock ishia, kisha itakupa mauzo kwa kipindi chote hicho na faida ghafi.
Mkuu unaeza kutusaidia hiyo programu kwa hapa, mi pia ni muhitaji
 
Duka la rejareja mahesabu yake ni magumu sana.kila bidhaa kuijua ni changamoto
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom