Utata kuhusu kijana ukoje?

Utata kuhusu kijana ukoje?

Ikemefuna funa

Senior Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
167
Reaction score
33
Habari members wa Jf,

Mimi naomba mwenye kujua aniambie hivi kijana ni kuanzia umri gani hadi umri gani. Maana naona wengi wanatafsiri zao, Kuna wanasema kuanzia 18 to 35, 17 to 40 au 18 to 45. Wengine ujana wa mtu ni ye mwenyewe kwenda na wakati. Ni hayo tu.

Nawasilisha.
 
18-45 ni ujana hao wanaonda na wakati baada ya umri huo ndo wale wanaoitwa wazee vijana....Mtu yupo na 60s bado anaswaga za machalii wa 20s.
 
Hakuna kijana wa miaka zaidi ya miaka 25
Nashangaa watu wanatumia jina kijana kwa mtu wa miaka 30 mpaka 40. Kijana nikuanzia 18-25 mwisho
 
Maoni yangu kijana ni mtu mwenye pesa nyingi
 
Mtu anaitwa kijana katika umri anaokua,ambao mwili unakuwa,umri wa miaka 20. Zaidi ya hapo labda unazungumzia kuhusu kukua kwa akili. Ili kujiepusha na masaibu mengi it is better to regard all people under 30 as kids. Au kijana aitwe mtu ambaye hajaenda Chuo Kikuu. Kijana ni yeyote anayehangaika na maisha.akili take haijatulia.
 
18-35 ni umri wa kuitwa kijana.
35-40 ni transition ya kutoka ujana kwenda uzee.
45-- ni uzee
 
Miaka 24 mpka 35 huyo ndy kijana ukiwa zaidi ya hapo we ni babu kijana au chini ya hapo mtoto
 
Umri wa ujana unaanzia pale mtu anapoingia balehe mpaka umri wa miaka 40, na hapo ndo mwisho wa ujana wa binadam unapokomea.
 
Habari members wa Jf,

Mimi naomba mwenye kujua aniambie hivi kijana ni kuanzia umri gani hadi umri gani. Maana naona wengi wanatafsiri zao, Kuna wanasema kuanzia 18 to 35, 17 to 40 au 18 to 45. Wengine ujana wa mtu ni ye mwenyewe kwenda na wakati. Ni hayo tu.

Nawasilisha.
Khaa!! Kama haihusiani na kutafuta kazi UVCCM au Bavicha basi asikudanganye mtu hizo ni namba tu za kiingereza. Anayeweza kukuambia kama wewe kijana au la ni bedmate wako tu:glasses-nerdy:
 
Khaa!! Kama haihusiani na kutafuta kazi UVCCM au Bavicha basi asikudanganye mtu hizo ni namba tu za kiingereza. Anayeweza kukuambia kama wewe kijana au la ni bedmate wako tu:glasses-nerdy:

Kwahiyo hakuna kabisa vitu vinavyoweza kumtambulisha mtu kuwa ni kijana?? Unakubaliana na hilo?
 
Habari members wa Jf,

Mimi naomba mwenye kujua aniambie hivi kijana ni kuanzia umri gani hadi umri gani. Maana naona wengi wanatafsiri zao, Kuna wanasema kuanzia 18 to 35, 17 to 40 au 18 to 45. Wengine ujana wa mtu ni ye mwenyewe kwenda na wakati. Ni hayo tu.

Nawasilisha.

halafu ukishajua!!!?
 
halafu ukishajua!!!?

Mkuu umhimu wa kujua upo sana, Kwa ili tupate ukweli, kwanini tufanye mambo gizani wakati tunaweza kupata mwanga ili tufanye kwa ufanisi??, hivi takwimu za watu zitachukuliwa vpi bila kujua hilo??
 
Mkuu umhimu wa kujua upo sana, Kwa ili tupate ukweli, kwanini tufanye mambo gizani wakati tunaweza kupata mwanga ili tufanye kwa ufanisi??, hivi takwimu za watu zitachukuliwa vpi bila kujua hilo??

hahahahahahaha...kuna kidemu utakuwa unakifukuzia kinakuona 'mzee!'....
 
Back
Top Bottom