Ikemefuna funa
Senior Member
- Sep 26, 2015
- 167
- 33
Habari members wa Jf,
Mimi naomba mwenye kujua aniambie hivi kijana ni kuanzia umri gani hadi umri gani. Maana naona wengi wanatafsiri zao, Kuna wanasema kuanzia 18 to 35, 17 to 40 au 18 to 45. Wengine ujana wa mtu ni ye mwenyewe kwenda na wakati. Ni hayo tu.
Nawasilisha.
Mimi naomba mwenye kujua aniambie hivi kijana ni kuanzia umri gani hadi umri gani. Maana naona wengi wanatafsiri zao, Kuna wanasema kuanzia 18 to 35, 17 to 40 au 18 to 45. Wengine ujana wa mtu ni ye mwenyewe kwenda na wakati. Ni hayo tu.
Nawasilisha.