Wewe unayezijua mkuu tufahamishe!
Hapana mkuu.....angalia post namba 13 vizuri kwenye uzi huu
Naona bado tunajadili namna ya kujadili kuliko kujadili!Ngoja nikupe scenario: Wewe si mwanasheria, mimi si mwanasheria, wewe umetoa "hoja" ya kum-critisize mwanasheria, mimi nimetoa angalizo kum-support mwanasheria. Watu waniitaje na wakuitaje?
Mkuu ungejikita kwenye hoja ungefanya la maana sana!
Wengi wanalilalamikia Bunge Maalum la Katiba kuwa limeacha kujadili Rasimu ya Warioba na linajadili "Rasimu ya CCM!"
Well, tulitegemea basi kesi dhidi ya Bunge Maalum la Katiba ifunguliwe Mahakama Kuu lakini badala yake inashtakiwa Serikali, kupitia Attorney General, ambayo kimsingi haihusiki!
Ni vizuri AG akaachwa na Badala yake awekwe Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, otherwise hizi kesi 2 zitashindwa vibaya!
Ni kweli kabisa lakini naona wapambe wameamua kujibu hoja kwa niaba yako!
Tafadhali mkanye Mcubic!
Kosa afanye A kisha B apelekwe mahakamani? Only possible with UKAWA!
Hoja ya Serikali iliishia pale Rasimu ilipopelekwa Bungeni, sasa hivi ni zamu ya Bunge na Serikali haina mkono wake hapo, ndio maana sasa hivi anayelalamikiwa ni Sitta na Bunge Maalum la Katiba, sio Serikali!Hoja ya katiba mpya ni hoja ya serikali, sio ya mwenyekiti wa bunge, ndio maana siku zikiisha haongezi sita, inaongeza serikali kupitia kwa JK kwa hiyo unaposhtaki unamshtaki mtoa hoja, anayewakilishwa na AG, sio msimamizi wa hoja.
Hoja ya Serikali iliishia pale Rasimu ilipopelekwa Bungeni, sasa hivi ni zamu ya Bunge na Serikali haina mkono wake hapo, ndio maana sasa hivi anayelalamikiwa ni Sitta na Bunge Maalum la Katiba, sio Serikali!
Mkuu, kesi iliyofunguliwa haihusu matumizi ya fedha, bali ni mamlaka ya Bunge Maalum la Katiba, kwamba si kuifumua Rasimu ya Warioba na kuweka misingi mipya (ya Serikali 2) kabisa kinyume na Kifungu cha 25 (1) na (2) cha Sheria ya Mapitio ya Katiba, 2011! Sasa hapa Serikali ina makosa gani?Wana hela hao akina Sitta? Serikali ikikata hela leo kuna atakae baki pale. Mwenye hela ndo mlalamikiwa ambae ni Serikali. Hao BMK ni kuiweka tu uhalali wa Kisheria. Ila ni Serikali ndo mdau mkuu au Client on behalf of Wananchi.
Nini kilikufanya ukafukuzwa umod hapa JF?Ni kweli, wananchi walio wengi waliona hakuna haja ya kuongelea muundo wa Serikali maana Serikali 2 zinatosha!