Kairuki haikuwepo kaangalie tenaJuzi tu serikali ilitoa orodha ya vyuo ambavyo havitaruhisiwa kupokea wanafunzi na Chuo cha hurbert Kairuki kilikuwepo,lakni nashangaa majina ya waliochaguliwa Kairuki yametoka,yaani hii sirikali ni inabadilika badilika Kama kinyonga.
Ndo current issue kwa kipind hiki,so usipingane na uhalisiamleta mada acha kupotosha .....hizi post zenu za chuo tumezichoka
Mleta Uzi haupo current kama current issue za chuo zilivo current pitia upya kitabu cha tcu na matangazo yao .Ndo current issue kwa kipind hiki,so usipingane na uhalisia