nuraj
JF-Expert Member
- Dec 16, 2011
- 309
- 236
Wakuuu Kama Jason hatajitokeza hadi Ijumaaa.....tuanze kuwa na mashaka kuwa huyu ndie Mpiganaji Peter Tyenyi.........
katika hali ya kawaida huyu jamaa Angesha update ziara ya Rais Singapore inayoanza Kesho......
Naomba wote tuendelee kumfuatilia isije Ikawa tumepoteza member.....
Still.....searching .......>>>>>>>>>>>
Wenye taarifa Zaidi waziwekee.....ili Kama yupo ajitokeze...
What a coincidence jamaa alipotea na kufa Muda unaoendana na wa huyu jamaa kuonekana hapa..????
[h=1]Jason bourne
JF Senior Expert Member
Join Date3rd July 2011Last ActivityYesterday 04:20Avatar