Utata katika maisha yangu

Utata katika maisha yangu

wanaume wengine ban..
asa ww kosa lako nn mpka uwe na wasi wasi kiasi icho..??
 
una Bahati kubwa ya kuwa na wa Baba wawili...mmoja akiwa ametangulia na Baba halisi akiwa hai..

huna cha kupoteza kama utamkubali Baba yako hadharani...hata baba mlezi huenda naye alilitambua hili so tulia...penda wote..

Kiufupi umeshinda Bahati Nasibu
 
Mkuu sina haja ya kukupa pole yeyote kwa sababu unaruhusu upumbavu uharibu maisha yako.

Wewe uliyesoma kwa taabu huku baba yako akila maisha unajifanya leo hii unamjua?

Huo usiri mnaoweka na bibi yako unakusaidia nini?

Baba ambaye hajakutafuta tokea unazaliwa umemtafutia nini? Au kwa kuwa umeambiwa mnafanana upate picha ya kumuweka kwenye status za watsup?

Acha ujinga kijana mwenzangu na namaanisha UACHE UJINGA.
Unachokifanya ni dharau kwa baba yako aliyefariki na aliyejitoa wewe ukafikia miaka 7.
 
Mkuu baba ako alishafariki huyo dingi mkaushie tu huna cha kupoteza
 
huyu baba namba 2 yuko vizuri ki finance ..tuanzie hapo kwanza "??
 
Hayupo vizur kivile anajitosheleza kimtindo tu
Aisee upo njia panda " sana .. anapoongea na wewe huwa anakwambia mipango yake dhidi yako ni ipi ""?.. yaani anampango wowote wakukutambulisha kwenye familiar/ukoo wao "?? ..wewe binafsi unamchukuliaje " ?
 
Back
Top Bottom