SERIKALINI?????Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Wana miradi mingiHiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Mkuu Max anateswa kwa sababu kawakatalia CCM kununua JF kwa billioni 10. Jiulize wanazipata wapi?Hiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Mkuu vyanzo vya mapato vya ccm vyote ni Mali za umma ukawa ukiingia madarakani vyote vinarudi serekaliniVipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]Aisome Erick Shigongo
Ushafanya home work uliyo achiwa na mwalimu wako leo?????Mkuu vyanzo vya mapato vya ccm vyote ni Mali za umma ukawa ukiingia madarakani vyote vinarudi serekalini
Kosa, umeshindwa mtihaniVipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
Mifuko ya hifadhi ya jamii!Mkuu naona kana unauliza vumbi darini. Huko hazina wananyofoa kwa lugha watarudisha. Wakikosa inaandikwa kwenye bad debtors.
Yeye kauliza mapato ya CCM ukitaka ya Chadema anzisha uzi wake utajibiwa.Vipi MKUU UNAFAHAMU JUU YA MATUMIZI YA RUZUKU NA HIYO MISAADA KWA CHADEMA?????maana hakuna cha maana kwenye hiki CHAMA kinachoonekana mpaka sasa ZAIDI YA KUONA WATU WACHACHE WATUNA MATUMBO TU .....ebu tuanzie hapo kidogo Afu na mimi ntakusaidia juu ya Vyanzo vya mapato ya CCM na matumizi yake...........
dili zote kubwa za kifisadi ccm hupata mgao, ndio maana mafisadi papa hawawezi kufikishwa mahakamaniHiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
Hata kama wangeinunua wachangiaji wapiga makofi wangewatoa wapi.Mkuu Max anateswa kwa sababu kawakatalia CCM kununua JF kwa billioni 10. Jiulize wanazipata wapi?
Ccm ndio chama tajiri barani Africa hebu jaribu kufuatilia tu kwa mkoa unaoshi wewe Mali za ccm tu then rudi tena kuandika hapaHiki chama kinapata wapi mapato yake hususan hawasemi?
Wanaweza kusema labda ni wanachama mm nasema la hiki chama kinapata wapi mabilioni ya kuwapa wasanii kama kina diamond na wengineo wengi
Bora hata vyama vya upinzani chadema for instance mbali.na ruzuku wanapata pia.misaada kutoka vyama rafiki nje
Lakini mbali na ccm nadhani si ruzuku tu
Huenda pesa zinachotwa serikalini
Hakiwezekani chama hakijulikani mapato yake yanatoka wapi ambapo wanagharamia mabilioni ya pesa kwenye vijimikutano yao
Isiwe ikawa ni kodi zetu
hahaha we jinga kwel mali zipi za kuwapa mabilioni? jee ni yale majumba mabovu Ya maofisi mlojenga kule?Ccm ndio chama tajiri barani Africa hebu jaribu kufuatilia tu kwa mkoa unaoshi wewe Mali za ccm tu then rudi tena kuandika hapa