Utaratibu wa kuzika haraka uigwe

Ww unatoa maoni ya imani yako
Wapi kataja imani yake?mbona tuko wote mitaani tunaona watu wanavyo jiingiza kwenye madeni ya kuhudumia watu kwenye misiba mpaka gharama ya kusafirisha hata kama ni imani yake sawa tu huyo mungu wako yesu baada ya kuuwawa na wayahudi alisafirishwa au aliwekwa kwenye jokofu kungoja au alipelekwa uwanjani kwenda kuagwa mshenzi tu
 
Mnakaa na mtu kafa wiki nzima ndani wa nini? mapenzi ni mtu anapokuwa hai ndio unaweza kuyaonyesha sio kwa mtu aliekufa
 
Usijali, sitishwi na yyte humu

Nimeongea kwa uzoefu wa kuangalia familia nyingi zinavyopata shida na kuingia kwenye wimbi la madeni baada ya kumalizika msiba.

Unakuta ndugu na majirani wanakaa hapo msibani kwa wiki au wiki mbili muda wote huo wanakula na kunywa kwa gharama ya mwenye msiba au kutegemea vimichango vichache vinavyotolewa hapo.

Waswahili tusipobadili baadhi ya hizi tamaduni zetu za kale tutasubiri sana.

Maisha yamebadilika sana inabidi nasisi tubadilike.
Nazidi kukuelewa bosi. Watu baadhi wanavizia ukifika muda wa kulatu wamoooo. Wakimaliza kula wanaondoka muda ukifika wanapigiana simu tena oya tauariiii.
Tabia ya kuchukua kitambo kirefu kwenye msiba inakua tabu kwa wafiwa hasa ambao uwezo wao mdogo
 
Kwa hiyo ukizika haraka unakuwa umeokoa hela nyingi mno?
Kama pesa hiko kama ruasa mshufuli muweke kwenye jokofu watu wale wanywe wasaze,sio kuingia kwenye madeni mpaka mjane wa marehemu anaishi kwa shida na watoto kisa muonekane lakini kumuhifadhi awezi fufuka alie kufa kafa tu
 
Nazidi kukuelewa bosi. Watu baadhi wanavizia ukifika muda wa kulatu wamoooo. Wakimaliza kula wanaondoka muda ukifika wanapigiana simu tena oya tauariiii.
Tabia ya kuchukua kitambo kirefu kwenye msiba inakua tabu kwa wafiwa hasa ambao uwezo wao mdogo
Tatizo la wabongo wanataka heti misiba yao iwe kama msiba wa ruasa magu muinyi mengi

Matokeo yake wanaishia kuchangisha na kuingia kwenye madeni

Kibaya zaidi mtu kafia dar kwa mfano kwao kagera heti wanakodi gali kwenda kumzika wakifika huko wanakula chakula wenyeji wakisha zika wanasepa

Ukipiga hesabu ya kumsafirisha maiti ni pesa nyingi wakisha zika awaangalii mjane wa marehemu wala watoto wake wala wezee wake wanasepa hao

Baadhi wakifika wanatumia pesa yamchango iliosalia wananua masanduku ya pombe wanakunywa wanakula nyama wanasepa bila hata haya pengine mjana kakopa hela wala awamuulizi

Kama mtu yuko na pesa sio mbaya lakini walio wengi ni wakina kwangu kukavu wafuata mkumbo hata kwenye harusi hivyo hivyo wakinyimwa mchango chuki inaanzia hapo
 
Hii mtu unafariki leo unazikwa chapu ndani ya siku au siku mbili.

Ni utaratibu mzuri aisee.

□ Unaokoa sana gharama.

□ Familia iliyofiwa ina sevu pesa za kuwasaidia baada ya kuondokewa na mpendwa wao.

□ Unawapa muda wafiwa kusahau machungu ya msiba na kuanza kufocus kwenye maisha mengine.

Maisha yamebadilika sana.
Ni kweli maisha imebadilika sana hata mkuu Sabasita kaamua kujiandalia ya kwake ili aokoe gharama na watu wake kutosumbuka michango na jeneza na pakuzikia.
 
... kwa komenti nilizokutana nazo hapa, huu sio wakati wa Yesu au Muhamadi kurudi Duniani!
... mmoja wao akithubutu TUNASULUBU TENA!
😅 ... CHEZEA KAUMU YA LUTU (Kaumul'Lut)!
 
Wanazikana hai sana hao
Hawawezi kumzika hai kwa sababu kumkafini tu tayari kama alikuwa hai anamalizwa.Hizi tabia za kuzipa promo sana mila za kiarabu zimeshamiri kweli kweli.Nilienda kusini salama leko kibao utadhani hawana lugha zao stupid.
 
Hawawezi kumzika hai kwa sababu kumkafini tu tayari kama alikuwa hai anamalizwa.Hizi tabia za kuzipa promo sana mila za kiarabu zimeshamiri kweli kweli.Nilienda kusini salama leko kibao utadhani hawana lugha zao stupid.
Wewe unachuki na waarabu bwana kwa sababu usisingizie watu wa kusini,wewe hapo chini umemalizia kwa kuandika neno STUPID hili neno asili yaka ni la kabila yako?

Wewe ni miongoni wa watanzania wapumbavu wanao wachukia watu bila sababu na kuwa shutumu wenzao kwa makosa ambayo nawao wanayatenda

Wewe uwezi kuepuka lugha ya kiarabu sababu kiswahili kimechukua sehemu ya misemo ya kiarabu labda usiwe unaongea kiswahili uwe unaongea kirumi ambako ndiko ukirito uliko zaliwa
 
Hawawezi kumzika hai kwa sababu kumkafini tu tayari kama alikuwa hai anamalizwa.Hizi tabia za kuzipa promo sana mila za kiarabu zimeshamiri kweli kweli.Nilienda kusini salama leko kibao utadhani hawana lugha zao stupid.
Mbona hicho kuswahili ulicho tumia kucoment hapa kimeundwa kwa maneno ya kiarabu?
Basi kuanzia sasa acha kuongea kishahili.
 
Tatizo la wabongo wanataka heti misiba yao iwe kama msiba wa ruasa magu muinyi mengi

Matokeo yake wanaishia kuchangisha na kuingia kwenye madeni

Kibaya zaidi mtu kafia dar kwa mfano kwao kagera heti wanakodi gali kwenda kumzika wakifika huko wanakula chakula wenyeji wakisha zika wanasepa

Ukipiga hesabu ya kumsafirisha maiti ni pesa nyingi wakisha zika awaangalii mjane wa marehemu wala watoto wake wala wezee wake wanasepa hao

Baadhi wakifika wanatumia pesa yamchango iliosalia wananua masanduku ya pombe wanakunywa wanakula nyama wanasepa bila hata haya pengine mjana kakopa hela wala awamuulizi

Kama mtu yuko na pesa sio mbaya lakini walio wengi ni wakina kwangu kukavu wafuata mkumbo hata kwenye harusi hivyo hivyo wakinyimwa mchango chuki inaanzia hapo
Tatizo wabongo wengi wanaishi kwa mazoea.

nakumbuka wkt mmoja kuna jamaa wa hapahapa bongo alipata msiba wa ndugu yao kwenye familia.

Sasa bana msiba ulitokea Dar ila nyumbani kwa wazee ni mkoani. Sasa wkt wa kuzika wale ndugu wakagawanyika. kuna wanaokomaa msiba usafirishwe uende mkoani na wengine kwa kujua hali yao wakasema wazikie dar.

huku na huku wale wa hoja ya kusafirisha wakashinda. Sasa umekuja wakati wa kutoa michango wale watu waliokomaa mwili usafirishwe wanadai wao hawana kitu

Sasa ona ujinga kama huu unaosababishwa na watu kuishi tu kwa mazoea badala ya kuishi kwa hali yao halisi ilivyo.
 
Back
Top Bottom