Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,576
- 48,933
Ndugu zanguni, hakuna jambo jema kama kujisomea vitabu...
Unapata mambo mengi sana...
Badala ya kuangalia TV , au kupoteza muda sana na gadgets zako,
Nashauri ununue vitabu uwe unajisomea
Utashangaa jinsi ufahamu unavyoongezeka....
Si rahisi kurubuniwa na watu rahisi rahisi..
NI utamaduni mzuri..
Unapata mambo mengi sana...
Badala ya kuangalia TV , au kupoteza muda sana na gadgets zako,
Nashauri ununue vitabu uwe unajisomea
Utashangaa jinsi ufahamu unavyoongezeka....
Si rahisi kurubuniwa na watu rahisi rahisi..
NI utamaduni mzuri..