Utaratibu huu ni kweli hajui au makusudi?

Huu ndio unaitwa mmomonyoko wa maadili. Haijalishi kama ni kanisani, ofisini au kwenye baa uvaaji huu haukubaliki. Ukijua umevaa suruali ambayo ukikaa ka bikini kako kanabaki wazi, kwa nini usivae blauzi ndefu ya kukusitiri?

Zamani ilikuwa ni aibu chupi ya mwanamke kuonekana hadharani, lakini siku hizi nini chupi, hata papuchi zinaachwa nje nje tu kwenye public.

Tiba
 
Alaaniwe kwa uvaaji huu
Iwe church or not huu ni uupuzi
Cijui kwann watu hawajitambui na wamekuwa wanapenda uovu badala ya wema
 

Biashara ni matangazo
 
Icho anachokionesha ata hakitambulikane shauri

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…