Utaratibu huu ni kweli hajui au makusudi?

chopeko

JF-Expert Member
Apr 23, 2012
1,528
1,107
kuna jamaa anasema ni church ila me sina uhakika!
160739_p_20140526102136_01.jpg
 
Huu ndio unaitwa mmomonyoko wa maadili. Haijalishi kama ni kanisani, ofisini au kwenye baa uvaaji huu haukubaliki. Ukijua umevaa suruali ambayo ukikaa ka bikini kako kanabaki wazi, kwa nini usivae blauzi ndefu ya kukusitiri?

Zamani ilikuwa ni aibu chupi ya mwanamke kuonekana hadharani, lakini siku hizi nini chupi, hata papuchi zinaachwa nje nje tu kwenye public.

Tiba
 
Alaaniwe kwa uvaaji huu
Iwe church or not huu ni uupuzi
Cijui kwann watu hawajitambui na wamekuwa wanapenda uovu badala ya wema
 
Huu ndio unaitwa mmomonyoko wa maadili. Haijalishi kama ni kanisani, ofisini au kwenye baa uvaaji huu haukubaliki. Ukijua umevaa suruali ambayo ukikaa ka bikini kako kanabaki wazi, kwa nini usivae blauzi ndefu ya kukusitiri?

Zamani ilikuwa ni aibu chupi ya mwanamke kuonekana hadharani, lakini siku hizi nini chupi, hata papuchi zinaachwa nje nje tu kwenye public.

Tiba

Biashara ni matangazo
 
Icho anachokionesha ata hakitambulikane shauri

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom