Utapeli wa namba za mawakala wa kutoa pesa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,320
33,125
NI KWELI IMENITOKEA MIMI JIONI YA LEO JANA TAREHE 30/5/2016.

Jamani, utapeli umekua mkubwa sasa hivi, mimi nimetapeliwa leo shilingi 50,000 jioni hii, ilikua hivi, nimefika kwa wakala wa M-PESA nikaomba kutoa pesa, kisha nikafanya muamala kama kawaida na kusubiri muhusika anipe pesa, nikaona kimya ikabid inimuulize hujapata msg? Akanijibu hapana!

Roho ikafanya paaaaaa! Nikamwambia kwani jina la wakala si ni D T RUVUMA AUTO PARTS? Akasema we hiyo namba umeitoa wapi nikamwambia toka nje uione, kutoka haaa!, ilibidi hata yeye ashangae maana kumbe kuna tapeli kaja akabandika kijikaratasi cha namba zake za wakala akafunika iliyokuepo!

Within dk kumi tukawapigia voda wakasema huyo mtu amekwisha itoa hiyo pesa oooh my God! Yaani alikua sharp kusubiri miamala iingie lol! Voda hawakua na chakunisaidia, wala wakala hakua na chakunisaidia so I LOST THE MONEY!

ANGALIZO:
HAPA KAMA NAMBA YA WAKALA UNAIONA NI BORA UULIZE ILI AKUTAJIE MWENYEWE,

KWA WALE MAWAKALA, NAMBA ZENU NI BORA MZIBANDIKE NDANI AU SEHEMU AMBAYO SIO RAHISI KWA MTU KUIGUSA.

HUYU TAPELI AMENIHARIBIA SIKU YANGU YOTE! SO TUWENI MAKINI JAMANI.

Source.Copy and paste

Muwe Waangalifu na Matapeli.......................
 
Pole sana mkuu.

Maisha yamekuwa magumu sana.

Watu wanabuni kila mbinu,zilizo halali na zilizo haramu katika kujipatia mkate wa kila siku.
 
Noted, Pole Sana Naamini Kuna Watu Wanaojipa Tafsiri Ya Hapa Kazi Tu Kwa Kadri Inavyowafaa
 
nadhani voda wametoa majibu rahisi,na haraka,ina maana hawana uwezo wa kumdhibiti mteja na wakala wa m pesa?ikibidi hata kumfungia asitumie huduma yao?
 
Daaa hii ni mpya atiii
Kweli "hapa kazi tu" wabongo wanabuni kilalinalowezekana kukipatia ankaraa

Duuu pole mkuu
 
huwa nikienda kutoa pesa kwa wakala lazma niulize jina lake......u have to learn not to trust people.
 
Mawakala wengi hawana customer care
Kuna mawakala huwa hawataki kukutajia namba zao wanakuambia soma hapo, wakati anakuambia soma kuna namba hata 4 zimebandikwa ukutani, zote za Mpes au Tigo pesa.
Mi huwa nikiona wakala ana nyodo huwa nasepa tu, ndy wanaochangia utapeli
 
#Soma Mbinu mpya ya Utapeli
itakusaidia imemtokea rafiki yangu !

TUWE MAKINI....MATAPELI KILA MAHALI SASA....Copy pasted

NI KWELI IMENITOKEA JIONI YA LEO TAREHE 30/5/2016.

Jamani, utapeli umekua mkubwa sasa hivi, mimi nimetapeliwa leo shilingi 50,000 jioni hii, ilikua hivi, nmefika kwa wakala wa M-PESA nikaomba kutoa pesa, kisha nikafanya muamala km kawaida na kusubiri muhusika anipe pesa, nkaona kimya ikabd nimuulize hujapata msg? Akanijibu hapana!!!!! Roho ikafanya paaaaaa!! Nkamwambia kwani jina la wakala c ni D T RUVUMA AUTO PARTS? akasema we hyo namba umeitoa wapi nkamwambia toka nje uione, kutoka haaa, ilibidi hata yeye ashangae maana kumbe kuna tapeli kaja akabandika kijikaratasi cha namba zake za wakala akafunika iliyokuepo!!!! Within dkk kumi tukawapigia voda wakasema huyo mtu amekwisha itoa hyo pesa oooh my God! Yaani alikua sharp kusubiri miamala iingie lol! Voda hawakua na chakunisaidia, wala wakala hakua na chakunisaidia so I LOST THE MONEY!!!!!!!

ANGALIZO:
HAPA KM NAMBA YA WAKALA UNAIONA NI BORA UULIZE ILI AKUTAJIE MWENYEWE,

KWA WALE MAWAKALA, NAMBA ZENU NI BORA MZIBANDIKE NDANI AU SEHEMU AMBAYO SIO RAHISI KWA MTU KUIGUSA.

HUYU TAPELI AMENIHARIBIA CK YANGU YOTE!!! SO TUWENI MAKINI JAMANI.
 
Makampuni ya simu nayo ni matatizo sana,na kama hawataangalia watu watapungua sana kwenye huduma zao.
Usajili umekuwa wa kihuni,Number zao zinauzwa mpaka humu kihuni tu
TCRA wanaweza kunasawa hawa watu,lakini nako usumbufu teleee kwenye kesi hizi
 
NI KWELI IMENITOKEA MIMI JIONI YA LEO JANA TAREHE 30/5/2016.

Jamani, utapeli umekua mkubwa sasa hivi, mimi nimetapeliwa leo shilingi 50,000 jioni hii, ilikua hivi, nimefika kwa wakala wa M-PESA nikaomba kutoa pesa, kisha nikafanya muamala kama kawaida na kusubiri muhusika anipe pesa, nikaona kimya ikabid inimuulize hujapata msg? Akanijibu hapana!

Roho ikafanya paaaaaa! Nikamwambia kwani jina la wakala si ni D T RUVUMA AUTO PARTS? Akasema we hiyo namba umeitoa wapi nikamwambia toka nje uione, kutoka haaa!, ilibidi hata yeye ashangae maana kumbe kuna tapeli kaja akabandika kijikaratasi cha namba zake za wakala akafunika iliyokuepo!

Within dk kumi tukawapigia voda wakasema huyo mtu amekwisha itoa hiyo pesa oooh my God! Yaani alikua sharp kusubiri miamala iingie lol! Voda hawakua na chakunisaidia, wala wakala hakua na chakunisaidia so I LOST THE MONEY!

ANGALIZO:
HAPA KAMA NAMBA YA WAKALA UNAIONA NI BORA UULIZE ILI AKUTAJIE MWENYEWE,

KWA WALE MAWAKALA, NAMBA ZENU NI BORA MZIBANDIKE NDANI AU SEHEMU AMBAYO SIO RAHISI KWA MTU KUIGUSA.

HUYU TAPELI AMENIHARIBIA SIKU YANGU YOTE! SO TUWENI MAKINI JAMANI.

Source.Copy and paste

Muwe Waangalifu na Matapeli.......................
pole mkuu asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom