Mawakala wa Kutoa/Kuweka Pesa Walivyo wezi wa Pesa za Wateja

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu Habari ya Mchana.

Niko Likizo ya Sikuukuu za Mwisho Wa Mwaka Huku Kijijini Kwetu.

Mama yangu Mzazi Anaishi Huku Kwetu Kijijini na Ni Mtu mwenye umri wa takriban miaka 90.

Watoto wake Uwaga tunakawaida ya Kutuma Hela Za Matumizi kwa ajili yake na Matumizi ya Nyumbani Kwa Ujumla.

Hapa Nyumbani Kijijini kwetu anaishi Mama, Mtoto wa Marehemu Kaka ana miaka 12, na Msaidizi wa Ndani.

Mama yetu licha ya Kuwa na umri huo Bado anatembea na anaona Vzr.

Kwa hyo Hapa Kijijini Kuna Kijana anafanya Issue za Mpesa, Airtel Money Nk kwa maana ya Money Transaction.

Kwa hyo Wazee wenye Umri wa Mama wanaenda Hapo Kupata huduma ya Kutoa Fedha so Kwa Umri wake na Hawezi kufanya process ya Kutoa pesa.

So Wazee Wetu wakifika Hapo kibandani kwa hyo mwamba wanatabia ya Kumpa Simu Ili Awasaidie kutoa kiasi wanachokihitaji so huyo Jamaa anajua Namba za Siri Za Kutolea pesa za hawa wazee wetu Hapa Vijijini.

Sasa Juzi Niko Na Mama Tumekaa mida Ya Sa12 jioni Ikaingia Meseji ya Airtel money Kwamba Mama amefanya muamala wa 145000/=kwenda kwa hyo Wakala kwa namba yake binafsi.

Nikamuuliza Mama leo umeenda kutoa pesa kwa hyo Wakala wa hapa kijijini, Mama akaniambia sijaenda huko na hata kama nikienda siwezi kutoa hela yote hyo na natumaje hela kwa namba yake binafsi badala ya kutoa kwenye Till # ya Wakala.

Sasa huyu Mtoto wa Braza akanaMbia kama week hivi ilikuja meseji Kwamba mama amemtumia hyo kijana tena 18500/=

So ikabidi nifuatilie kwa Kupiga Namba ya Huduma kwa Wateja Ya Airtel, Wakaniambia kwamba ni kweli Muamala huo umefanyika na ipo miamala mingine takribani 25 ambayo mama yako ametuma kwa hyo kijana.

Ikabidi nimuulize hyo mtaalamu wa Airtel kwamba inakuwaje anaamisha pesa kutoka kwenye simu ya Mama na Simu wakati anayo Mama?

Wakanijibu Kwamba yawezekana huyo Wakala ana Smartphone ambayo ame download apps ya Airtel money So Ndio anatumia kutoa hyo pesa hata kama hana simu.

Wakaniambia Mtu akiwa na hyo Apps yoyote ya hizi huduma za kifedha na akawa na namba yako ya simu na akawa na namba yako ya Siri anauwezo wa kutoa au kuangalia Salio lako bila ww mwenye simu kujua.

Wakuu niko njia panda naombeni ushauri wenu jinsi ya kudeal na huyu Mtu Kabla Sijarudi mjini maana atakuwa ameshawaumiza Sana Wazee Wetu Hapa Kijijini.

Nawasilisha Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee nimeumia na hela zilivyosumbufu hiviii!!

Mwite huyo dogo mzungumze ila kitagoma na ushahidi unakosa nenda kwanza police alafu mtengeneza kamtego ka kumnasa!
 
Hivi unajielewa kweli wewe....
Kwanza ningekua mimi ndio moods nishakupiga ban ya wiki mbili ili akili ikukae sawa.
Watu wenye akili mgando kama wewe ndio wanao chelewesha mabadiliko ya hiki chama cha kijani kutoka madarakani.
Yaani hadi ushahidi unao, jamaa alitakiwa saizi yupo ICU na pingu mkononi anasubiri kuzinduka tu ajikute mahakamani hata kama ni jumapili.
Mama amesema vijana TUCHAKARIKE
 
Wakuu Habari ya Mchana.

Niko Likizo ya Sikuukuu za Mwisho Wa Mwaka Huku Kijijini Kwetu.

Mama yangu Mzazi Anaishi Huku Kwetu Kijijini na Ni Mtu mwenye umri wa takriban miaka 90.

Watoto wake Uwaga tunakawaida ya Kutuma Hela Za Matumizi kwa ajili yake na Matumizi ya Nyumbani Kwa Ujumla.

Hapa Nyumbani Kijijini kwetu anaishi Mama, Mtoto wa Marehemu Kaka ana miaka 12, na Msaidizi wa Ndani.

Mama yetu licha ya Kuwa na umri huo Bado anatembea na anaona Vzr.

Kwa hyo Hapa Kijijini Kuna Kijana anafanya Issue za Mpesa, Airtel Money Nk kwa maana ya Money Transaction.

Kwa hyo Wazee wenye Umri wa Mama wanaenda Hapo Kupata huduma ya Kutoa Fedha so Kwa Umri wake na Hawezi kufanya process ya Kutoa pesa.

So Wazee Wetu wakifika Hapo kibandani kwa hyo mwamba wanatabia ya Kumpa Simu Ili Awasaidie kutoa kiasi wanachokihitaji so huyo Jamaa anajua Namba za Siri Za Kutolea pesa za hawa wazee wetu Hapa Vijijini.

Sasa Juzi Niko Na Mama Tumekaa mida Ya Sa12 jioni Ikaingia Meseji ya Airtel money Kwamba Mama amefanya muamala wa 145000/=kwenda kwa hyo Wakala kwa namba yake binafsi.

Nikamuuliza Mama leo umeenda kutoa pesa kwa hyo Wakala wa hapa kijijini, Mama akaniambia sijaenda huko na hata kama nikienda siwezi kutoa hela yote hyo na natumaje hela kwa namba yake binafsi badala ya kutoa kwenye Till # ya Wakala.

Sasa huyu Mtoto wa Braza akanaMbia kama week hivi ilikuja meseji Kwamba mama amemtumia hyo kijana tena 18500/=

So ikabidi nifuatilie kwa Kupiga Namba ya Huduma kwa Wateja Ya Airtel, Wakaniambia kwamba ni kweli Muamala huo umefanyika na ipo miamala mingine takribani 25 ambayo mama yako ametuma kwa hyo kijana.

Ikabidi nimuulize hyo mtaalamu wa Airtel kwamba inakuwaje anaamisha pesa kutoka kwenye simu ya Mama na Simu wakati anayo Mama?

Wakanijibu Kwamba yawezekana huyo Wakala ana Smartphone ambayo ame download apps ya Airtel money So Ndio anatumia kutoa hyo pesa hata kama hana simu.

Wakaniambia Mtu akiwa na hyo Apps yoyote ya hizi huduma za kifedha na akawa na namba yako ya simu na akawa na namba yako ya Siri anauwezo wa kutoa au kuangalia Salio lako bila ww mwenye simu kujua.

Wakuu niko njia panda naombeni ushauri wenu jinsi ya kudeal na huyu Mtu Kabla Sijarudi mjini maana atakuwa ameshawaumiza Sana Wazee Wetu Hapa Kijijini.

Nawasilisha Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ya kutumia airtel app haiwezekani. Ukitoa line kwenye simu ukaweka nyingine ukifungua app inadai uweke line na utumie internet ya airtel. Tigo pia ni same kasoro voda (napenda voda kwa hili).
Labda kuna njia nyingine wanayotumia. Au inawezekana labda ukiendelea tumia internet ya airtel ya line nyingine labda inafanya maana sijawahi jaribu
 
Ningelikuwa ndio mm mkuu ningewasha moto hiyo hiyo siku siwez kumuacha kizembe
 
Katoe taarifa police kwanza, airtel hawawezi kukupa taarifa za mteja wao kienyeji hivyo labda uwe na kibali cha police au mahakama,

Huo ni wizi wa kimtandao naamini polisi kuna kitengo cha wataalam wa I.T. na sheria za makosa ya kimtandao yapo wazi. Kama una ushaidi wa kutosha anzia polisi. Wanaweza kuweka mtego wakamnasa maana muonja asali aonji Mara moja.lazima atarudia tu kama ndio tabia yake.

Jamaa usimwambie chochote anaweza kuharibu ushaidi wote.
 
Nashindwa kuwaelewa hawa Airtel, nimewaomba Airtel wanisaidie printing out ya money transaction kutoka kwenye namba ya Mama kwenda kwa hyo namba ya hyo jamaa Wananiambia hawawezi Kutoa, kwamba ni siri za wateja.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaandika stori sensitive lakini unaonekana muongo muongo hivi, yaani unasema bado upo kijijini lakini tayari ushawaomba airtel wakusaidie 'printouts' za miamala..!
 
Mkuu hii ya kutumia airtel app haiwezekani. Ukitoa line kwenye simu ukaweka nyingine ukifungua app inadai uweke line na utumie internet ya airtel. Tigo pia ni same kasoro voda (napenda voda kwa hili).
Labda kuna njia nyingine wanayotumia. Au inawezekana labda ukiendelea tumia internet ya airtel ya line nyingine labda inafanya maana sijawahi jaribu
Mkuu ndio majibu niliyopewa na hao Airtel wenyewe Incase kama waliniambia tu kuniridhisha.

Niliongea na Jamaa yangu mmoja yuko Vodacom akanaMbia pia kwamba ukiwa na App ya Mpesa na nikawa na namba yako ya Mkononi na Namba yako ya Siri, naweza fanya Transaction bila ww kujua



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika stori sensitive lakini unaonekana muongo muongo hivi, yaani unasema bado upo kijijini lakini tayari ushawaomba airtel wakusaidie 'printouts' za miamala..!
Kwani kuomba print out za miamala ni lazima uwe mjini?

Niliongea nao kupitia namba ya huduma kwa wateja nikawaomba wanisaidie hyo print out wakagoma kwamba sio utaratibu sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ndio majibu niliyopewa na hao Airtel wenyewe Incase kama waliniambia tu kuniridhisha.

Niliongea na Jamaa yangu mmoja yuko Vodacom akanaMbia pia kwamba ukiwa na App ya Mpesa na nikawa na namba yako ya Mkononi na Namba yako ya Siri, naweza fanya Transaction bila ww kujua



Sent using Jamii Forums mobile app
Mpesa yes hata kwenye maelezo nimeandika mpesa inakubali, ukishaiset tu basi hata utoe line as long as unajua password inakubali. Ila airtel an tigo pesa ukitoa line nayo inakusignout. Pia hata kuset app inabidi line iwe kwenye simu ndipo inakubali labda wana ujanja wa kuzitrick.
 
Katoe taarifa police kwanza, airtel hawawezi kukupa taarifa za mteja wao kienyeji hivyo labda uwe na kibali cha police au mahakama,

Huo ni wizi wa kimtandao naamini polisi kuna kitengo cha wataalam wa I.T. na sheria za makosa ya kimtandao yapo wazi. Kama una ushaidi wa kutosha anzia polisi. Wanaweza kuweka mtego wakamnasa maana muonja asali aonji Mara moja.lazima atarudia tu kama ndio tabia yake.

Jamaa usimwambie chochote anaweza kuharibu ushaidi wote.
Hivi naweza kuprint zile meseji za Airtel money zilizoko kwenye simu ya Mama nikatumia kama ushahidi polisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpesa yes hata kwenye maelezo nimeandika mpesa inakubali, ukishaiset tu basi hata utoe line as long as unajua password inakubali. Ila airtel an tigo pesa ukitoa line nayo inakusignout. Pia hata kuset app inabidi line iwe kwenye simu ndipo inakubali labda wana ujanja wa kuzitrick.
Au jamaa amesajili line nyingine ambayo Mama akiwa offline ndio jamaa anaweka na kufanya hyo miamala Mkuu?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii ya kutumia airtel app haiwezekani. Ukitoa line kwenye simu ukaweka nyingine ukifungua app inadai uweke line na utumie internet ya airtel. Tigo pia ni same kasoro voda (napenda voda kwa hili).
Labda kuna njia nyingine wanayotumia. Au inawezekana labda ukiendelea tumia internet ya airtel ya line nyingine labda inafanya maana sijawahi jaribu

Jamaa ni muongo au tuseme anatia mashaka, kwa kutumia APP ni kweli inawezekana lakini kila baada ya muda fulani ukifungua APP (TigoPesa) huwa kuna CODE inatumwa kwenye namba (LINE) iliyotumika wakati wa kuinstall hiyo APP.

Ikiwa haipo kwenye simu hiyo basi huwezi kuipata hiyo code na hivyo huwezi kuendelea.

Huyu anayedai miamala takribani 25 ni NGUMU SANA kumwamini hapa.
 
Nenda polisi kachukue RB na polisi akae ndani mpaka jumatatu ndo muanze kuhojiana vizuri.
Sikushauri umpige hyo NI KESI
 
Aaaah ana zari sana huyo kijana kufanya masihara na pesa za watu kutoka familia yenye vinasaba vya uyesu
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom