Utapeli wa mtandaoni

Utapeli wa mtandaoni

salehe93

Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
10
Reaction score
0
Habari msomaji!

Nataka kuliweka wazi ili suala la utapeli unaozid kuenea kila siku na wengi wakiwa ni waanga, kuna matangazo mengi ya kibiashara hususani yale yanayo postiwa #zoom, tupatame..... nk, na wengi
 
kuna wanaopiga simu wanakwambia umeshinda zawadi kutoka voda tafuta simu nyingine tukuelekeze jinsi ya kupokea zawadi, ukijichanganya kufuata hayo maelezo lazima ulizwe.
 
Tanzania hakuna utapeli bhna. Ni ujinga tu na kupenda kitonga.
 
Back
Top Bottom