Utapeli wa kuzushiwa Watoto wetu kuumwa ghafla shuleni utasababisha ugonjwa ya moyo! TCRA chukueni hatua

Tahadhari kwa wazazi, huu ni utapeli mpya umeibuka! - JamiiForums

Sent using Vertu Signature Cobra
 
Hata mm nimetumiwa huu ujumbe. Ila mm sina mtoto. Nikajikagua P*mbu zangu nikaona zipi OK nikaendea na mishes
 
Mimi nilipigiwa simu na mwanamke mwenye lafudhi ya kichaga. Ananiambia mwanangu anaumwa. Nikashangaa mbona sina mtoto anayesoma Primary school. Leo baba yangu mzazi katumiwa message mtoto ameugua shuleni. Ni utapeli tu. Tuwe makini.
 
Nipe laki tu nimshushe busha huyo fala aliyetaka kukutapeli!
Nilikuona ulivyokuwa na presha hadi nguo ya ndani kuloa kwa jasho jingi!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…