Utapeli wa ajira umekithiri, Serikali ipo wapi?

Utapeli wa ajira umekithiri, Serikali ipo wapi?

Shida ipo apa na sometime hua mtua anaeza kua amemaliza 2020 kwenye mkeka akaonekana na anaandikwa kamaliza 2016 lakin wanaomfaham wanajua kamaliza lin. Inasikitisha sana
Kitendo cha kuweka vigezo kua wanaotakiwa kuomba ni 2015 hadi 2022,wakati hizo nafasi zingeenda kihaki,sisi wa 2016,2015 hadi 2020 tungezijaza na yawezekana zisingetosha,kuna walakini.Baadhi ya watendaji wa serikali wanao ujinga mwingi sana.
 
Kitendo cha kuweka vigezo kua wanaotakiwa kuomba ni 2015 hadi 2022,wakati hizo nafasi zingeenda kihaki,sisi wa 2016,2015 hadi 2020 tungezijaza na yawezekana zisingetosha,kuna walakini.Baadhi ya watendaji wa serikali wanao ujinga mwingi sana.
Apo wameweka adi 2022 kama kujiwekea ka kinga flani watapoweka ndugu zao umo tushindwe kuelewa mana kiufupi apo ilitakiwa waseme waombe 2015-2018 yan broo utashuhudia jins ambavo wataajiri 2022 wengi kuliko miaka ya nyuma ndipo utapoamini connection kweli zinafanya kazi muda wote nchi hii
 
Back
Top Bottom