Wakuu,
Huku walimu wahitimu na wale wa kada ya afya wakifurahia ajira zilizotangazwa leo na TAMISEMI nayo matapeli yameshangilia haswa.
Katika kipindi hiki nasikitika vijana wengi wanaenda kulizwa vipesa vyao kwa kudanganywa kwamba ajira hizi zinatolewa kwa connection ambapo huihitajika walipie pesa kwa ahadi ya kupangwa kituo cha kazi, hakika mtaliwa pesa zenu bure .
Awamu hii hakuna connection, usikubali kuliwa na mwisho ukose kazi.
Huku walimu wahitimu na wale wa kada ya afya wakifurahia ajira zilizotangazwa leo na TAMISEMI nayo matapeli yameshangilia haswa.
Katika kipindi hiki nasikitika vijana wengi wanaenda kulizwa vipesa vyao kwa kudanganywa kwamba ajira hizi zinatolewa kwa connection ambapo huihitajika walipie pesa kwa ahadi ya kupangwa kituo cha kazi, hakika mtaliwa pesa zenu bure .
Awamu hii hakuna connection, usikubali kuliwa na mwisho ukose kazi.