Adil_101
Senior Member
- Jul 26, 2022
- 110
- 345
Habari za Asubuhi Wakubwa!!


Leo nimeamua kuwa changamsha kidogo na mada ya utapeli especially kwa mawakala jinsi utavyofanyika.
Huwa inakuwagaa hivi


Anakuja dukani Mtu Mzima fulani hivi alievaa mavazi ya official wengi wanavaa suti, tai na miwani.
Akija dukani anakuwa akizungumza na simu na huenda akaletwa na Tax au Private Car.
Mazungumzo ya hawa matapeli yanakuwa smart sana...
Like "Alfred unajua ule mradi niliamua mpewe nyie vijana wangu sababu napenda kuona mnakua kiuchumi" hapo hapo unashangaa anaongea na simu nyingine like...
"Hello Catherine, i will check u back" halafu baada ya hapo unaskia Habari Kijana huku akitabasamu na simu kaishikilia..
Kama vile bado anaongea, Utaskia "Samahani mna huduma ya TIGO PESA hapa?" halafu unaskia "Sorry Alfred acha nimuwekee Kanjunju John pesa yake ya Transport then nitakupigia".
Sasa bwana kuanzia hapo sasa anakuwa ameshakuteka psychology na unakuwa huna mashaka nae kabisa 🥲...
Bwana bwana bwana!!! Muvi la kutisha linaanza sasa. Kwanza ndugu tapeli anakuuliza "Milioni 1 si napata eeh".
Jibu lako either liwe ngoja niangalie au ipo basi yeye anakupa mzigo anakwambia hesabu.
Hapo unapewa milioni yenyewe imekamilika kabisaaa au hata anaweza kuzidisha..
Maumivu yanapoanzia sasa wakati wewe unamalizia kuhesabu Ndugu Mheshimiwa Tapeli atapokea simu au atajifanya anampigia mtu simu sasa utaskia...
"Hello Bajabir hii fedha nikuwekee kwa namba gani? Pleas be on time my friend Msafara unakabiria"
Wakati huo unachotakiwa uelewe..
Ni kuwa huyu Mheshimiwa Tapeli anakuwa ameshakuchora muda sana, ameshajua hauna CCTV, ameshajua weakness zako na mzunguko wako wa Wateja upoje.
Hawaendi sehemu yenye msongamano mkubwa.
Baada ya kuzuga anaongea na simu atakwambia either "Sorry naona huyu simuelewi"..
Inaonekana hajakuwa tayari na unaweza kumuwekea pesa akaja kusema hajaona na mimi nitakuwa nishaondoka".
Sasa bhana wewe ukimkabidhi hizo pesa tu kuna sekunde 2 kama sio 3 anakuzuga kidogo hv anabadilisha pesa kwenye koti la suti ila wewe ukiendelea kumtizama unaona...
Bado kazishikilia zile zile fedha.
Sasa hapo utaskia anakwambia tena "Au tufanye hv kwanini usitume kwangu kisha nikamtumia nikiwa safarini huko huko?" Atacheka halafu atajichekesha na wewe utajaa utazugwa na tabasamu atakwambia "okay naweza kukutajia No. Sasa eeh"
Wakati huo.
Sasa wewe umeshika simu ndugu yangu utashikishwa pesa huku unatuma
.
Wakati unakaribia kutuma atakwambia jina fulani ile umeweka namba ya siri tu yeye huyooooooo anapotea"
Hapo sasa kinakujia kile kiakili cha "Kuthibitisha tena pesa ili uzigawe either au uweke kwenye droo.

Ndugu yangu katika Upendo wa Bwana Mungu wetu utahisi kwanza ganzi maana kuna mambo hutayaelewa ile unarudi sasa kwenye akili yako unaangalia chini na juu unaona 2000 kibaoooooo.
Ile unahamaki ndugu Mheshimiwa Tapeli anakuwa hayupo tena area yako. Ila unasema upige simu..
HQ utaambiwa hii No. Imetumiwa 1,000,000 kweli ila hii pesa imeshatolewa hivyo hakuna namna ya kukusaidia tena labda uende Polisi kwa hatua zaidi.

Wakati huo Mkononi una kama 150k tu.
Ndugu zangu haya mambo yapo na wala hayamkuti Mjinga, Ni kuomba Mungu tu.
END 



Leo nimeamua kuwa changamsha kidogo na mada ya utapeli especially kwa mawakala jinsi utavyofanyika.
Huwa inakuwagaa hivi



Anakuja dukani Mtu Mzima fulani hivi alievaa mavazi ya official wengi wanavaa suti, tai na miwani.
Akija dukani anakuwa akizungumza na simu na huenda akaletwa na Tax au Private Car.
Mazungumzo ya hawa matapeli yanakuwa smart sana...

Like "Alfred unajua ule mradi niliamua mpewe nyie vijana wangu sababu napenda kuona mnakua kiuchumi" hapo hapo unashangaa anaongea na simu nyingine like...
"Hello Catherine, i will check u back" halafu baada ya hapo unaskia Habari Kijana huku akitabasamu na simu kaishikilia..

Kama vile bado anaongea, Utaskia "Samahani mna huduma ya TIGO PESA hapa?" halafu unaskia "Sorry Alfred acha nimuwekee Kanjunju John pesa yake ya Transport then nitakupigia".
Sasa bwana kuanzia hapo sasa anakuwa ameshakuteka psychology na unakuwa huna mashaka nae kabisa 🥲...

Bwana bwana bwana!!! Muvi la kutisha linaanza sasa. Kwanza ndugu tapeli anakuuliza "Milioni 1 si napata eeh".
Jibu lako either liwe ngoja niangalie au ipo basi yeye anakupa mzigo anakwambia hesabu.
Hapo unapewa milioni yenyewe imekamilika kabisaaa au hata anaweza kuzidisha..

Maumivu yanapoanzia sasa wakati wewe unamalizia kuhesabu Ndugu Mheshimiwa Tapeli atapokea simu au atajifanya anampigia mtu simu sasa utaskia..."Hello Bajabir hii fedha nikuwekee kwa namba gani? Pleas be on time my friend Msafara unakabiria"
Wakati huo unachotakiwa uelewe..

Ni kuwa huyu Mheshimiwa Tapeli anakuwa ameshakuchora muda sana, ameshajua hauna CCTV, ameshajua weakness zako na mzunguko wako wa Wateja upoje.
Hawaendi sehemu yenye msongamano mkubwa.
Baada ya kuzuga anaongea na simu atakwambia either "Sorry naona huyu simuelewi"..

Inaonekana hajakuwa tayari na unaweza kumuwekea pesa akaja kusema hajaona na mimi nitakuwa nishaondoka".
Sasa bhana wewe ukimkabidhi hizo pesa tu kuna sekunde 2 kama sio 3 anakuzuga kidogo hv anabadilisha pesa kwenye koti la suti ila wewe ukiendelea kumtizama unaona...

Bado kazishikilia zile zile fedha.
Sasa hapo utaskia anakwambia tena "Au tufanye hv kwanini usitume kwangu kisha nikamtumia nikiwa safarini huko huko?" Atacheka halafu atajichekesha na wewe utajaa utazugwa na tabasamu atakwambia "okay naweza kukutajia No. Sasa eeh"
Wakati huo.

Sasa wewe umeshika simu ndugu yangu utashikishwa pesa huku unatuma

.Wakati unakaribia kutuma atakwambia jina fulani ile umeweka namba ya siri tu yeye huyooooooo anapotea"
Hapo sasa kinakujia kile kiakili cha "Kuthibitisha tena pesa ili uzigawe either au uweke kwenye droo.


Ndugu yangu katika Upendo wa Bwana Mungu wetu utahisi kwanza ganzi maana kuna mambo hutayaelewa ile unarudi sasa kwenye akili yako unaangalia chini na juu unaona 2000 kibaoooooo.Ile unahamaki ndugu Mheshimiwa Tapeli anakuwa hayupo tena area yako. Ila unasema upige simu..

HQ utaambiwa hii No. Imetumiwa 1,000,000 kweli ila hii pesa imeshatolewa hivyo hakuna namna ya kukusaidia tena labda uende Polisi kwa hatua zaidi.

Wakati huo Mkononi una kama 150k tu.Ndugu zangu haya mambo yapo na wala hayamkuti Mjinga, Ni kuomba Mungu tu.
END 



Mkuu