Nafasi ya kazi ilitangazwa zoom Tanzania. Matokeo ndo haya
Hello, naitwa Mr. Eliud from CINDREX HOLDINGS LTD tupo kwenye kikao tunapitia cv za kuinterview for HUMAN RESOURCE post, CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi kwa masharti yafuatayo, salary ni 1,300,000/=(take home), ukilipwa mshahara wa kwanza utanipa tsh. laki 4 kwa kukusaidia, na kabla ya saa 9 leo mchana uwe umetuma tshs. elfu 25 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview anipe maswali na majibu ntakutumia kwenye email leoleo, nitakupigia simu nikitoka kikaoni.
Tuweni makini jamani
Hello, naitwa Mr. Eliud from CINDREX HOLDINGS LTD tupo kwenye kikao tunapitia cv za kuinterview for HUMAN RESOURCE post, CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi kwa masharti yafuatayo, salary ni 1,300,000/=(take home), ukilipwa mshahara wa kwanza utanipa tsh. laki 4 kwa kukusaidia, na kabla ya saa 9 leo mchana uwe umetuma tshs. elfu 25 by tigopesa kwenda namba hiihii ili nimpe mtu wa interview anipe maswali na majibu ntakutumia kwenye email leoleo, nitakupigia simu nikitoka kikaoni.
Tuweni makini jamani