Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,721
Hawa jamaa wamekua ni kwikwi duniani kote kwa utapeli. Nawaza pengine yawezekana utapeli kwao ukawa ni sehemu ya vinasaba kwa kitaalum DNA.
Kila siku wanakua busted/ kamatwa katika nchi tofauti tofauti na kurudishwa kwao.
KISA CHA MJANE WA MIAKA 54 ALIETAPELIWA USD 90,000 NA MNAIJERIA WA MKIA 20.
Kuna kisa fulani Mnaijeria mmoja Jina Emmaniel aliitapeli Bank moja huko Brazil kwa kuwauzia uwanja wa Ndege wa umma ulipo Naijeria.
Uandishi wangu sifuri
Kila siku wanakua busted/ kamatwa katika nchi tofauti tofauti na kurudishwa kwao.
KISA CHA MJANE WA MIAKA 54 ALIETAPELIWA USD 90,000 NA MNAIJERIA WA MKIA 20.
Kuna kisa fulani Mnaijeria mmoja Jina Emmaniel aliitapeli Bank moja huko Brazil kwa kuwauzia uwanja wa Ndege wa umma ulipo Naijeria.
Uandishi wangu sifuri