Utaniambia nini?

slow_learner

Senior Member
Nov 24, 2016
139
110
3f3a78677a7a20c6c2095721f18ad63b.jpg
 
Policy hii haipo kumsaidia mwananchi bali kuneemesha pato la serikali.
Pia haijali ukiukwaji wa misingi ya utawala bora bali inachokiangalia ni kusonga mbele pasipo kujali maumivu ya umma.
 
Mkuu..!
Fridge langu huwa lina uwezo wa kuhifadhi barafu 50 kwa wakati mmoja.
Sasa huwa nikiweka barafu 20 huwa zinaganda kwa masaa 5, leo nataka nigandishe 15 tu..!
Unafikiri baada ya muda gani zitakuwa zimeshaganda zote?
 
Nini maana ya utawala bora? Na vipi ni viashiria vya huo uwepo wa utawala bora? Unadhani kwa sasa Tanzania yapi ni maslahi ya umma? Tuanzie hapo.
 
Mkuu..!
Fridge langu huwa lina uwezo wa kuhifadhi barafu 50 kwa wakati mmoja.
Sasa huwa nikiweka barafu 20 huwa zinaganda kwa masaa 5, leo nataka nigandishe 15 tu..!
Unafikiri baada ya muda gani zitakuwa zimeshaganda zote?
Unafikiri kupunguza kipimo kunaathiri ufanisi katika kazi? La hasha muda wa kugandisha utabaki kuwa ule ule.
 
Policy hii haipo kumsaidia mwananchi bali kuneemesha pato la serikali.
Pia haijali ukiukwaji wa misingi ya utawala bora bali inachokiangalia ni kusonga mbele pasipo kujali maumivu ya umma.
Na je, Serikali ni nani??
 
Na je, Serikali ni nani??
Kwa tafsiri ya kidemokrasia serikali ni umma ila kaa ukijua kuwa baadhi ya watu wanaweza kutumia umma kuibinafsisha serikali na ndipo hubadilika na kuitwa serikali ya kiimla au mabavu.
 
Nini maana ya utawala bora? Na vipi ni viashiria vya huo uwepo wa utawala bora? Unadhani kwa sasa Tanzania yapi ni maslahi ya umma? Tuanzie hapo.
Ni utawala ambao huzingatia misingi ya kidemokrasia pasipo kuvunja katiba ya nchi ambayo imeridhiwa na wananchi wake.
Viongozi hufuata miiko ya uongozi kwa kuzingatia matakwa ya jamii pasipo kukiuka miongozo.
 
Back
Top Bottom