Utando wa buibui machoni au usoni

Utando wa buibui machoni au usoni

Habari zenu

Mara kadha nimekuwa nikikumbwa na Hali ya kutokewa na utando wa buibui machoni au niseme usoni niwapo kazini au hata kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale.

Kutokewa na Hali hii kunaleta tafsiri Gani ndugu zanguni?

Mshana Jr
Utando wa buibui huhusishwa na ushirikina na wachawi. Utando wa bulbul huwapo mwingi kwenye nyumba huweza kutumiwa na wachawi kama antena zao na hutumia kuingilia nyumba ya mtu.

Hivyo kama unahisi utando usoni na machoni ni ishara kwamba kuna nguvu za kichawi zimeanza kazi ya kukufuatilia.

Kwa imani yangu; Yesu Kristo ndiye kiboko wa wachawi, omba na kemea nguvu za giza kwa Jina la Yesu kila mara utashinda.
 
Utando wa buibui huhusishwa na ushirikina na wachawi. Utando wa bulbul huwapo mwingi kwenye nyumba huweza kutumiwa na wachawi kama antena zao na hutumia kuingilia nyumba ya mtu.

Hivyo kama unahisi utando usoni na machoni ni ishara kwamba kuna nguvu za kichawi zimeanza kazi ya kukufuatilia.

Kwa imani yangu; Yesu Kristo ndiye kiboko wa wachawi, omba na kemea nguvu za giza kwa Jina la Yesu kila mara utashinda.
Be blessed mkuu
 
Suala linaweza kuhusisha mishipa ya fahamu ya uso au pia formication/tafsiri isiyo halisi ya mishipa ya fahamu. Sababu ni nyingi, ni vyema kuwaona wataalamu wa afya kwa kutafuta chanzo na ushauri zaidi kulingana na maiaha kwa ujumla.
 
mimi mwenyewe nina uzoefu na hichi kitu

utandu wa buibui hauonekani, unaweza ukaugusa tu ukipita mahali

ndo maana utahisi kwenye sehemu zilizopo wazi(uso na mikono) tu
 
Back
Top Bottom