Knight rider
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 452
- 659
Kivipi mkuu Naomba ufafanuzi tafadhaliWatu wanataka kiti hiko mkuu, jipange.
Hapo unapigwa upofu, muda si mrefu utakua huoni..........hakuna taasisi itakayomhitaji asiyeona, iratafuta mbadala (mbadala ndo huyo anayekupiga upofu). Nafikir8 umenielewa sasa ee?Kivipi mkuu Naomba ufafanuzi tafadhali
Watu wanataka kiti hiko mkuu, jipange.
Tusubiri wajuvi watufafanulie mkuuWrite your reply...Hata mm hii hali huwa inanitokea
Habari zenu
Mara kadha nimekuwa nikikumbwa na Hali ya kutokewa na utando wa buibui machoni au niseme usoni niwapo kazini au hata kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale.
Kutokewa na Hali hii kunaleta tafsiri Gani ndugu zanguni?
Mshana Jr
Nahisi mkuuUtando wa buibui unauona au unahisi kwenye ngozi?
Nistuke nn mkuuHuezi amini stuka
Nahisi mkuu