Utandazaji bomba la gesi Mtwara-Dar umeanza leo

Utandazaji bomba la gesi Mtwara-Dar umeanza leo

Kwetu-Mbagala

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
203
Reaction score
39
Utandazaji bomba la gesi toka Mnazibay-Mtwara hadi Dar umetarajiwa kuanza leo na unatarajiwa kukamilika kabla ya Sept mwaka huu.Bomba hilo linatarajiwa kuwa na urefu wa km 534 na linatarajiwa kugharimu zaidi ya dola za kimarekani bil 1.2. Source-Gazeti la Majira,26 Aug, uk 3
 
Kukamilika kabla ya sepetmba mwaka huu?!!! Yaani siku mbili zijazo! Mwanambagala mwenzangu unaniangusha ...
 
Mabomba yatatandazwa fasta tena in short time ila mabomba yamaji toka Ruvu hadi Dar km 70 since independence imeshindikana leo maji yametoka saa 7 hapa kimara suka usiku nimechota na mkewangu hadi saa 12 alfajiri.ok serekali sikivu na chama sikivu tandikeni mabomba hadi china acheni wananchi tuumie.kidumu chama cha mapinduzi.
 
waache wajisumbue. Kauli mbiu yetu ni 'Haitoki hata kwa Bomba la Peni'!
 
Back
Top Bottom