Utamu wa embe

Utamu wa embe

LUKOBE

Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
11
Reaction score
0
Sehemu ya Kwanza
EEE bwana sawa mimi nimekuelewa, lakini Juma inabidi hii issue iende fasta fasta si unajua washikaji kibao wanavyohaha kuhusu yule mtoto?" alisema John akimwambia rafiki yake Juma ambaye ni maarufu kwa kazi ukuwadi. "Usikonde rafiki yangu nitajitahidi kadri ya uwezo wangu ila lazima upande dau au unasemaje kuhusu hilo," alijibu John. "Ondoa hofu mwanangu jioni kuanzia saa moja njoo nyumbani uniambie umefika wapi tutamaliza mambo yote," "Poa John nakuamini hamna noma." Linda binti mmoja mrembo aliyemaliza elimu yake ya sekondari nchini Kenya, hivyo ameamua kuja kusubiri matokeo yake kwa baba yake mzazi anayeishi Kinondoni jijini Dar.
 
SEHEMU YA 2:
Linda mtoto mwenye asili ya kimanga mrefu wa futi kama tano hivi na sentimita kadhaa, unene wake wa wastani ulitengeneza na kusababisha makalio yake yaonekane ya pekee ama unaweza kusema kama amependelewa usiombe akuvalie jeans ni balaa tupu usipoangalia utaumbuka hadharani, we acha tu. Matiti yake ya saizi {size} yaliyo tengeneza umbo la duara hasa anapovaa sidiria au muda mwingine tunayaweka katika kundi la (English style). Kwa ufupi ana umbo ambalo husumbua wanaume wengi. Siku chache tangu alipofika mtaani hapo, vijana mbalimbali na baadhi ya watu wakubwa wenye ndoa zao walionekana kushindwa uzalendo kutokana na mvuto alionao Linda. Kila mtu alijaribu kwa jinsi alivyofikiri ili apate kufanikiwa kutesa na kimwana huyo lakini hali ilikuwa ngumu mno hasa kutokana na ukali wa mzee Twalib ambaye ni baba mzazi. Kutokana na uzuri wa mwanae baba yake aliamua kumuwekea ulinzi mkali kwani anawafahamu vijana wa Dar jinsi alivyo na fujo hasa kwa vimwana kama Linda.
 
SEHEMU YA 3:
Juma mbona unanifanyia hivyo yaani unataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia mambo gani unataka kunifanyia. Nimeshakueleza kwamba maliza kazi yako mtoto awe kwenye line, mzigo wako nitakukamilishia si unanijua mambo yangu makubwa na sipendi usumbufu. Nenda kamalizie kazi yangu nitakutengenezea elfu hamsini." "Sawa John nimekuelewa mambo yote nayamaliza bila kupoteza muda ngoja niondoke taarifa zote nitawasiliana nawe kwenye mtandao." Juma alinyanyuka na kuondoka.
Ilikuwa kazi ndogo sana kumlaghai binti mrembo anayeumiza akili za vijana wengi kwa aliingia kwenye mtego wa Juma kilaini na kumalizana naye kisha akawasha kisimu chake kumtaarifu John. "Haloo John mimi Juma hapa, mambo safi?" "Safi kivipi," John alihoji "Mtoto kashaingia line kama nilivyokuahidi kwa hiyo kinachofuata ni kupanga appointment ili mfahamiane zaidi na mimi tumalize mambo yetu. Sawa Juma. Mmh naona pale Mango Gargen ni pazuri zaidi, si unajua kutakuwa na washikaji kibao na vijana wa hip hop bongo watakuwa wanatoa burudani pale sawa hilo halina tatizo Juma alikata simu yake.
 
Utamu wa embe upo kwenye ukokwa unalilamba mpaka hamu ya embe inamalizika kabisa.

 
Last edited by a moderator:
UTAMU WA EMBE KOKWA (4):
Siku iliyofuatia majira ya saa kumi na mbili na robo John na Juma walikuwa wamepata sehemu nzuri ya kupumzika na kufanya waonane na kila anayefika ukumbi ule, macho yao yote yalikuwa hatulii kila mtu alionekana kumkodolea macho kila msichana aliyeingia ukumbini. Muda mfupi Linda aliingia na moja kwa moja aliweza kuwaona walipo wenyeji wake. "Karibu sana Linda," "Asante mambo zenu?" "Poa" wote waliitikia kwa wakati mmoja kana kwamba waliambizana. Linda toto la kimanga alivuta kiti kilicho karibu sana na John huku sketi yake ikionyesha karibu robo tatu ya mapaja yake meupee yakiwa nje na kumfanya John amezee mate hivi hivi. Wakiwa katika vinywaji alisikika Juma alivunja kimya. "Linda sina sababu ya kuzungumza mengi wote ni watu wazima hamna mtoto mdogo hapa maagizo yote niliyokuwa naleta kwako sikuwa nakutania na wewe ukanielewa sasa mimi sina muda mrefu sana naomba niwaacheni muendelee kula vitu roho inapenda au mnasemaje," Juma alisema huku akimkonyeza John kumpa ishara kwamba mtoto ndio kashafika kazi kwake. Ishara hiyo ilikuwa karibu sana na Linda kiasi cha kumfanya aone wakati Juma anamkonyeza John. " Mhhh lakini Juma una mambo wewe," Linda alizungumza huku akiona nishai na kuinama chini.
 
Sehemu ya Tano
Wote waliinuka kwenye viti vyao na kumuacha Linda akiendelea kuvinjari na burudani zilizokuwa zikiendelea pale ukumbini ni hatua chache tu waliinamiana kila mtu kwenye sikio la mwenzake kisha Juma akasema "Kazi yangu imeisha John kazi kwako ukichemsha usinifuate mtoto kapendeza si unamuona jinsi alivyotoka bomba." John hakuwa na usemi zaidi ya kuingiza mkono kwenye mfuko wa nyuma wa suruali yake na kuchomoa bulungutu la manoti na kuanza kuhesabu moja mbili hadi akamaliza zikawa ni elfu kumi kumi . Juma aliaga na kutokomea gizani huku akionyesha kuwa ni mwenye furaha. Haloo mpenzi samahani sana kwa kukuacha mpweke kwa dakika hizi chache, John alisikika kwa mara ya kwanza akimuita mpenzi huku akipima jibu kutoka kwa kimwana yule. "Aaah usijali najua ulikuwa unaagana na rafiki yako."
 
Sehemu ya 6
John hakuamini kwa macho yake kama kweli Linda ndio yule alikuwa anaongea naye huku vinywaji vikiendelea. John ambaye alikuwa anapendelea sana Wisky tayari alionekana kuanza kubadilika na kufanya asiwe muoga tena kwa Linda huku akijikuta akianza kupapasa papasa kwenye mapaja laini ya Linda taratibu mikono ilienda kupanda ngazi taratibu Linda alianza kujihisi kuishiwa nguvu. Huku John akizidi kumkumbatia na kuanza kuzungumza kwa njia nyingine huku midomo yao ikiwa pamoja wakibadilishana ndimi zao na mkono wa John ukiendelea kufanya ziara kwenye sehemu maalumu za Linda huku Linda akihangaika na kuguna. Mara wakasikia baadhi ya watu waliokuwepo hapo wakinong'ona baada ya kuwaona. "Aaah achana nao bwana ndio mambo ya mjini hayo sasa, unashangaa nini tena hawa wanakula raha zao usiku, wapo wengine mchana kweupee, ukiwaona hao si ndio utawashangaa zaidi," alisema mmoja wao Miguno na minong'ono iliendelea kutawala mahala pale huku watu wakiendelea kupata burudani safi kutoka kwa vijana waliokuwa wanaonyesha vipaji vyao katika muziki wa kizazi kipya. Gafla Linda alimtaka John kusimamisha ile ziara ambayo kweli kwa wakati ule walikuwa wamefika mbali sana....
 
Sehemu ya 6
John hakuamini kwa macho yake kama kweli Linda ndio yule alikuwa
anaongea naye huku vinywaji vikiendelea. John ambaye alikuwa anapendelea
sana Wisky tayari alionekana kuanza kubadilika na kufanya asiwe muoga
tena kwa Linda huku akijikuta akianza kupapasa papasa kwenye mapaja
laini ya Linda taratibu mikono ilienda kupanda ngazi taratibu Linda
alianza kujihisi kuishiwa nguvu. Huku John akizidi kumkumbatia na kuanza
kuzungumza kwa njia nyingine huku midomo yao ikiwa pamoja
wakibadilishana ndimi zao na mkono wa John ukiendelea kufanya ziara
kwenye sehemu maalumu za Linda huku Linda akihangaika na kuguna. Mara
wakasikia baadhi ya watu waliokuwepo hapo wakinong'ona baada ya kuwaona.
"Aaah achana nao bwana ndio mambo ya mjini hayo sasa, unashangaa nini
tena hawa wanakula raha zao usiku, wapo wengine mchana kweupee,
ukiwaona hao si ndio utawashangaa zaidi," alisema mmoja wao Miguno na
minong'ono iliendelea kutawala mahala pale huku watu wakiendelea kupata
burudani safi kutoka kwa vijana waliokuwa wanaonyesha vipaji vyao katika
muziki wa kizazi kipya. Gafla Linda alimtaka John kusimamisha ile ziara
ambayo kweli kwa wakati ule walikuwa wamefika mbali sana....

ikawaje sasa?
 
Sehemu ya 7
"Mmmh, sikiliza John angalia watu wavyoangalia, tulia bwana unaniumiza sana usiwe na mapepe mimi ni wako au bado haujaamini usinitese mwenzio siku zipo nyingi kwa muda muafaka tutafanya na utaridhika tu lakini kwa sasa naomba unipumzishe mapigo ya moyo yanaenda mbio kwani umenikimbiza sana pasipo kujiandaa." John alionekana kuanza kuelewa huku akiwa amechoka kutokana na safari aliyoshindwa kumaliza kwa wakati ule, Linda pasipo kutegemea alijikuta amevunja rekodi kwa siku ile kwani hakuwahi kuchelewa kurudi nyumbani kwao zaidi ya saa tatu na alipoangalia saa aliona ni saa tano kasorobo.
"Jamani John mimi leo nitakuwa mgeni wa nani, sijui yaaani naogopa kweli mimi ndio maana nilikuambia tuondoke, si unaona mimi wakiniuliza nitawaambia kwamba ni wewe umenichelewesha, lakini John nakupenda, sana japokuwa umeniudhi kwa kukataa ombi langu la kurudi nyumbani mapema," alilalamika Linda kisha walikumbatiana huku kila mmoja akijivuta kwa mwenzake kwa kufuata mapigo kana kwamba kuna blues ilikuwa inapigwa.
'Linda nakupenda sana nashindwa kukuacha' John alisema huku akihema na kufanya ashindwe kuunganisha neno moja alilotaka kuzungumza "usijali John na mimi nakupenda tena sana naomba tuonane siku tatu baadae baba ataenda safari nitakutaarifu kwa simu'.
 
Sehemu ya 8
Linda aliondoka huku John akionekana kushangaa na kutumbulia macho lile toto la kimanga jinsi sehemu zake za nyuma zilivyokuwa zinatingishika kwa zamu, alimeza mate fundo moja baada ya lingine huku Linda akitokomea, John aligeuza gari yake na kurudi nyumbani kwake kupumzika huku kichwa chake kikiwa kimejaa mawazo lundo ya kumuaza Linda.
Usiku ule ulionekana kuwa mrefu sana kwa John aliwaza kimoyomoyo ni bahati gani toto lile wala siamini macho yangu mtoto laini kaumbika ama kweli Mungu kaumba bwana kwa Linda tu acha nimsifie mawazo hayo yaliendelea kutawala ndani ya kichwa chake hatimaye usingizi ulimchukua na kujikuta amechelewa kuamka asubuhi kuendelea na shughuli zake kwani alikuwa anamiliki chuo kimoja kilichopo Kariakoo kinachohusika na ufundi wa computer.
Siku zilipita hatimaye ahadi ya Linda kama alivyomuahidi John alitaka aitimize ilikuwa asubuhi mida ya saa nne na robo ulisikika mlio wa simu kutoka mfukoni kwake haraka haraka aliacha stering ya gari yake na kuruhusu mkono mmoja wa kulia upapase papase kwenye suruali yake alifanikiwa kuipata na alipoangalia tu aliona jina la Linda.
John bila kujielewa alijikuta anatabasamu kisha akaanza kuzungumza.
 
Sehemu ya 9
"Haloo John hapa mambo poa tu unajisikiaje."Lindaalihoji. "Najisikia vibaya darling." "Kwa nini?" Linda alihoji tena. "Aaah hujui nina hamu sana ya kukuona," "Hilo tu." "Ndiyo kwani unaliona dogo." "Hapana John hata mimi mbona pia nimekumiss sana." "Acha kunitania bwana." "Hee sikutanii kweli nakueleza." "Okay, sasa Linda nipo maeneo ya Mnazi Mmoja naelekea Wizara ya Mambo ya Ndani kuna kazi naenda kuangalia mara moja kwa hiyo tutaonana vipi?" Kazi kwako mimi nilikwisha kueleza leo nipo free hadi asubuhi kama unaweza." "Uuuh," John alionyesha mshangao wa furaha. "Nakutania mwaya ila ninachokueleza ni kwamba leo kazi kwako." "Sawa Linda nimekuelewa tukutane palepale kisha tutafahamu ni wapi tuelekee kama ni palepale ama sehemu nyingine nzuri zaidi" "Poa kazi njema" "Okey baiii." Kutokana na mawazo mazito aliyokuwa nayo kuhusu Linda gafla alisikia kelele za watu jamani tunakufaaa jamani mama weee Mungu tusaidue fumba na kufumbua alikuwa amegongana na HIACE ambayo inafanya ruti ya Buguruni posta watu wengi walikuwa wamejazana eneo la tukio kama unavyojua tena mambo ya mjini linaweza likawa dogo na baadae linaonekana kubwa. Polisi walifika eneo la tukio baada ya kupima na kuona kwamba hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa isipokuwa taa za mbele kulia za gari la John zilikuwa zimevunjika polisi walimruhusu John aondoke si unajua mjini kwani ilimlazimu John aongee kikubwa ili asije akachelewesha mambo yake.
 
Sehemu ya 10
Baada ya John kumaliza mizunguko yake na kuweza kuipeleka gari yake gereji na kufanya matengenezo kwa zile sehemu ambazo zilipata matatizo. Akiwa mwenye a ya kutaka kuonana na Linda alihangaika kuangalia hapa na pale na kusababisha hata wisky aliyokuwa anaifakamia kuonekana haina ladha kwake. Kama kawaida yake Linda aliingia huku akifanya baadhi ya washikaji waliokuwa wanajirusha na marafiki zao wamtumbulie macho Linda huku wengine wakisikika wakinong'ona E bwana ee cheki mtoto alivyojaliwa. "Du mtoto balaa yule ama kweli Mungu kampendelea," walisema. "Haloo darling tayari umeshafika," alisikika Linda akiongea kwa furaha tele baada ya kumuona John. "Nimefika kama dakika kumi na nne hivi zilizopita , ila isingekuwa mambo fulani ya ziada ningekuwa naongelea polisi sasa hivi." "John mbona unanitisha, Linda alionyesha mshangao hapana Linda usiogope sana ni mambo ya kawaida tu nimeshayamaliza na ndio maana unaniona hapa sasa hivi." Alimpooza na kisha kwa ufupi John alimsimulia Linda stori nzima ilivyokuwa. Bila kupoteza muda vinywaji vilikuwa vimetapakaa meza yote ya kina John stori za mahaba zilizojaa kutamaniana na kuwekeana hamu ya kila mmoja kwa mwenzake ama kweli mambo yalizidi kubadilika kila sekunde ambayo ilikuwa inapita. " Linda I'm very tired naomba tukapumzike."
 
Sehemu ya 11
"Sawa John lakini naomba tusichelewe kama siku ile nilivyorudi usiku sana." Waliingia ndani ya gari na kwa uchovu Linda akakiegesha kichwa chake kwenye mapaja ya John. Kuona hivyo John alijikuta anaegesha gari pembeni kwani penzi likikolea huwa haliangalii sehemu gani ya kuooeshana. John alijikuta ameruka hadi kwenye viti vya katikati huku sidiria ambayo alikuwa amevaa Linda ikionyesha nafasi ndogo kati ya sehemu moja ya titi na nyingine. Bila kuchelewa John alijikuta anaingiza mkono na kuanza kutomasa maeneo yote muhimu. Ulegevu na uchovu wa wote wawili ulionyesha kwa kila mmoja kuna kitu anahitaji kutoka kwa mwenzake. "John taratibu basi mwenzio bado sijavu........ si unaona, ngoja basi na we... kwaaa... haar ...Aaaiii John jamaniiii, ngoja basi nivu.......... Jamani John mmmh, ooh wewe ai..ai..ooh mmmh...mmmh... uuuuh, uuuh John, John, Joooohn aaah uuh oooooh eeeh..." Mbwembwe na kila aina ya furaha ilionekana kwao ili mradi wafike tamati na hatimaye walifanikiwa kumaliza mazungumzo yao huku mvua ya mabusu ikimiminika kwa zamu zamu kutoka kwa mmoja kwenda kwa mwingine.
 
Back
Top Bottom