Utamu kwa mwanaume upo wapi?

Utamu kwa mwanaume upo wapi?

sadalla

Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
78
Reaction score
71
Kuna mdada mmoja nilimuuliza juu ya maeneo akiguswa/chezewa upata utamu,akanitajia kama matano,kisha akanigeuzia swali hilo kwangu,nilikuwa na jibu moja, kwamba utamu naupata wakati nakojoa tu.

Msaada tafadhari kama kuna sehemu nyingine iletayo utamu ndani ya 6 kwa 6 kwa mwanaume.
 
Kama ilivyo tofauti kwa wanawake nahisi na kwa wanaume itakuwa hivyo hivyo.
 
kuna mdada mmoja nilimuuliza juu ya maeneo akiguswa/chezewa upata utamu,akanitajia kama matano.kisha akanigeuzia swali hilo kwangu,nilikuwa na jibu moja, kwamba utamu naupata wakat nakojoa tu.msaada tafadhari kama kuna sehemu nyingine iletayo utamu ndani ya 6 kwa 6 kwa mwanaume

Na wewe unataka uchezewe ili upate utamu?
 
Yaani kwa wanawake wa saizi utamu wa mwanaume haupo kwenye dudu killer lakw bali wallet!!! Kama hucheki hata ukitekenywa basi jua hata dudu killer litakuwa chungu hata kama linacheua nusu kikombe tehe tehe
 
Yaani kwa wanawake wa saizi utamu wa mwanaume haupo kwenye dudu killer lakw bali wallet!!! Kama hucheki hata ukitekenywa basi jua hata dudu killer litakuwa chungu hata kama linacheua nusu kikombe tehe tehe

Khaaa!!!!..
 
:A S-confused1:Mwanaume unachezewaje yaani ehm funguka vizuri! Mwanaume rijali ukiona papuch udenda unamtoka babu kutaka ulainishe papuch! sasa unahitaji kuchezewa ili iweje! upigwe machine au vidole?:A S-confused1:
Ehm mtafute David Cameron akuelekeze!!!!!!!!!!!
 
nimezunguka weweeeeeee kila kona nnakoend asioni penye kunifanya nitulie sasa naona nigeukie ALIAS nimalizie season 5 yangu.

na log off jamvini week end inaboa
 
:A S-confused1:Mwanaume unachezewaje yaani ehm funguka vizuri! Mwanaume rijali ukiona papuch udenda unamtoka babu kutaka ulainishe papuch! sasa unahitaji kuchezewa ili iweje! upigwe machine au vidole?:A S-confused1:
Ehm mtafute David Cameron akuelekeze!!!!!!!!!!!

Makubwa
 
We hapa raha pale ananyonya bakra hapana raha pale nakojoa sasa kama hapana raha kwa nini anatafuta papuchee
 
Wanaume fungukeni 2wasikie,utamu wenu uko wap?

kuna siku hata moja umewahi kusikia mwanamke anafunguka humu utamu wake uko wapi? sijawahi ona mua unajitambua ladha yake! wewe twelezee utamu wetu uko wapi! kichwani? kwenye shina? au kwenye mizizi?
 
kuna siku hata moja umewahi kusikia mwanamke anafunguka humu utamu wake uko wapi? sijawahi ona mua unajitambua ladha yake! wewe twelezee utamu wetu uko wapi! kichwani? kwenye shina? au kwenye mizizi?

Tufunguke nn wakati kila kitu kinaeleweka kuhusu wadada
 
Back
Top Bottom