Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,407
- 40,480
Mwanajeshi mmoja awakamata wasichana wawili na bi kizee mmoja, ambapo walikuwa upande wa maadui. Mwanajeshi akawaambia adhabu ninayowapa ni kuwamicha kila mmoja, wale wasichana wakiwa wanamtetea yule bi kizee wabebe adhabu yao. Bi kize akakurupuka akasema, adhabu ni adhabu kila mmoja anastahili, chezea utraaamu wewe.