Namwacha aje, ntamsikiliza anieleze namna alivyoanza na anavyofanya. Nitaona cha kumshauri.
Nilipokuwa chuo nilikua napigiwa na wanafunzi wenzangu wakihitaji msaada wa QM (Quantitative methods) na Probability kwenye courses, wengine hata siwajui na wako desperate kinyama. Niliwasaidia.