Utampa???

Utampa???

Iko hivi, nitachukua halafu sitatumia.
Nikirudi safari nitamkabidhi na kumwambia sikupata dharura, halafu nitamwambia naye anikabidhi...nikikuta limetumika la kwake ndipo shughuli itaanzia hapo
kama akikuambia dharura ilitokea??
 
Mimi nisingepokea,maana hiyo hatari ya kupimana imani.
 
ahaàa umekatoa Kwa kansiime Anne? kuna hata video wawekee waone
 
Umepata safari kikazi wakati wa kupanga nguo zako mke wako anakuletea box la condom in case ikitokea dharura utumie unapokea kwa furaha na kusema asante kwa kunijali mke wangu, wakati upo kwenye gari mkeo anakukimbilia anakuomba pakiti moja kama na yeye akipata dharura atumie, je utampa??

Akachukue alikozitoa hizo, au alitakiwa awe amebakiza za kwake kabla ya kunipa mimi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom