Mia saba
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 255
- 389
Tunakutana na watu wengi, tunatamani kujiusisha nao kingono. Mara kadhaa tunasikia mtu na mtu wamenasana au baada ya kula mzigo sehemu alifariki au kawa kichaa na kadhalika.
Maana kiuhalisia kunawengine walifungwa maagano wakiwa wadogo ata wao hawajijui Ila ukiingia tu imekula kwako.
Je, unaweza tumia tahadhari gani kujirizisha Mara zote hii mali Ni Safi kwa matumiz ya Mwanadamu?
Maana kiuhalisia kunawengine walifungwa maagano wakiwa wadogo ata wao hawajijui Ila ukiingia tu imekula kwako.
Je, unaweza tumia tahadhari gani kujirizisha Mara zote hii mali Ni Safi kwa matumiz ya Mwanadamu?