nguruseboy
New Member
- Apr 1, 2014
- 2
- 0
Hello wana jf natumaini wazima wa afya, mimi ni mgeni humu ndani so naomba ushirikiano wenu wa hali na mali natanguliza shukrani. asante
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako
Hujamwambia escrow pia wanapatikana
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako
Karibu sana JF mjukuu..........
Karibu sana mkuu...humu kuna watu wa aina zote kuanzia walalahoi , matajiri, vichaa, wenye akili nyingi, mbumbumbu, wachungaji, masheikh hadi mawaziri. Sina hakika kama Mhe. Rais yupo ila inawezekana. Kazi kwako