Utambulisho

Naitwa Mbwana a.ka Babufey naomba mnipokee ni mwanachama mpya ila msomaji wa JF kwa miaka kumi na tano,naona sasa nami niwe nachangia
Umetunyonya sana mawazo yetu kwa 15 yrs bila kuchangia lolote aisee.... huu ni ufisadi pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom