BabuFey JF-Expert Member Feb 13, 2023 705 1,322 Feb 22, 2023 #1 Naitwa Mbwana a.ka Babufey naomba mnipokee ni mwanachama mpya ila msomaji wa JF kwa miaka kumi na tano,naona sasa nami niwe nachangia
Naitwa Mbwana a.ka Babufey naomba mnipokee ni mwanachama mpya ila msomaji wa JF kwa miaka kumi na tano,naona sasa nami niwe nachangia
C Captain 666 JF-Expert Member Nov 5, 2021 654 1,208 Feb 22, 2023 #2 Karibu Sana. Naitwa captain nafurahi kuona ujio wako
Penologist JF-Expert Member Feb 25, 2019 788 1,904 Feb 22, 2023 #3 15 years? Surely ulikuwa unasoma comments zetu na nyuzi zetu bila kuchagia.
mludego JF-Expert Member Mar 16, 2013 2,395 3,197 Feb 23, 2023 #5 BabuFey said: Naitwa Mbwana a.ka Babufey naomba mnipokee ni mwanachama mpya ila msomaji wa JF kwa miaka kumi na tano,naona sasa nami niwe nachangia Click to expand... Umetunyonya sana mawazo yetu kwa 15 yrs bila kuchangia lolote aisee.... huu ni ufisadi pia
BabuFey said: Naitwa Mbwana a.ka Babufey naomba mnipokee ni mwanachama mpya ila msomaji wa JF kwa miaka kumi na tano,naona sasa nami niwe nachangia Click to expand... Umetunyonya sana mawazo yetu kwa 15 yrs bila kuchangia lolote aisee.... huu ni ufisadi pia
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,055 10,700 Feb 23, 2023 #6 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.