Watanzania kuna huu utaratibu wa kutoa zawadi kwa watu binafsi sijui unalipeleka Taifa letu sehemu gani.
Tumeshuhudia hivi karibuni majenerali wastaafu wakizawadiwa magari, Mama Kanumba kapewa gari na Rais, na wengine kama vile wanamuziki wa zamani wanapewa hela.
Je, kila brigedia generali akistaafu atapewa gari.
Mantiki nzima ya kutpa magari kwa hawa wastaafu siielewi. Watanzania tuna wastaafu wengi sana wengine mpaka wanaingia kaburini hawajapewa mafao yao baada ya kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa sana
Tumeshuhudia hivi karibuni majenerali wastaafu wakizawadiwa magari, Mama Kanumba kapewa gari na Rais, na wengine kama vile wanamuziki wa zamani wanapewa hela.
Je, kila brigedia generali akistaafu atapewa gari.
Mantiki nzima ya kutpa magari kwa hawa wastaafu siielewi. Watanzania tuna wastaafu wengi sana wengine mpaka wanaingia kaburini hawajapewa mafao yao baada ya kulitumikia Taifa kwa uadilifu mkubwa sana