Utamaduni huu wa wanawake kuvaa nguo halafu nguo za ndani zinajichora ni sawa?

Unajua sikuizi TAKO Ni kitu muhimu kuliko kitu chochote,
Ulimwengu unaenda kwa sasi ya ajabu in negative ways,
Sasa akivaa nguo za kustarabika hyo chupi utaionaje?
Kuna masket furani yapo mazuri yanamauwa mauwa marefu haya,yako pow Sana Ila wengi hawataki
Wanavaa viutumbo furani hivi vimenywiiiiiiidika matako hadi sio poa
Nachukia Sana hivyo vinguo
Mbaya zaidi wake za watu wanatinga dah
 
Matokeo yake ndio huwa haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…