Matokeo yake ndio huwa hayaUnajua sikuizi TAKO Ni kitu muhimu kuliko kitu chochote,
Ulimwengu unaenda kwa sasi ya ajabu in negative ways,
Sasa akivaa nguo za kustarabika hyo chupi utaionaje?
Kuna masket furani yapo mazuri yanamauwa mauwa marefu haya,yako pow Sana Ila wengi hawataki
Wanavaa viutumbo furani hivi vimenywiiiiiiidika matako hadi sio poa
Nachukia Sana hivyo vinguo
Mbaya zaidi wake za watu wanatinga dah
Anawazimu huyuMatokeo yake ndio huwa hayaView attachment 1534596
kapicha tafadhaliNilishangaa nilimuona tulia amevaa kama ivo daa nilishangaa sana
hakuna kitu kama hicho hata afanyaje hana kichoreoNilishangaa nilimuona tulia amevaa kama ivo daa nilishangaa sana
Sawa bana😢😢😢
😂 jamani