Utalii wa Ndani

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,375
Hapa ni mnara wa kuongozea meli uliopo katika ncha ya kisiwa cha Mafia
Mnara huu ulijengwa zaidi ya miaka mia moja iliyopita
Fukwe inayoonekana pembeni ndipo miili ya wahanga wa ajali ya ndege ya air france iliyokuwa ikitokea comoro ndipo ilipopatikana..
picha hii imepigwa kwa kutumia simu ya mkononi
 

Attachments

  • IMG_0801.JPG
    IMG_0801.JPG
    138.9 KB · Views: 257
img0801ko.jpg


Hapa ni mnara wa kuongozea meli uliopo katika ncha ya kisiwa cha Mafia
Mnara huu ulijengwa zaidi ya miaka mia moja iliyopitaFukwe

inayoonekana pembeni ndipo miili ya wahanga wa ajali ya ndege ya air france
iliyokuwa ikitokea comoro ndipo ilipopatikana..

picha hii imepigwa kwa kutumia simu ya mkononi<!-- google_ad_section_end -->



Nice pic .... ..... ....Thanks Inkoskaz
 
img0801ko.jpg


Hapa ni mnara wa kuongozea meli uliopo katika ncha ya kisiwa cha Mafia
Mnara huu ulijengwa zaidi ya miaka mia moja iliyopitaFukwe

inayoonekana pembeni ndipo miili ya wahanga wa ajali ya ndege ya air france
iliyokuwa ikitokea comoro ndipo ilipopatikana..

picha hii imepigwa kwa kutumia simu ya mkononi<!-- google_ad_section_end -->



Nice pic .... ..... ....Thanks Inkoskaz


Wacha asante kwa kuikuza.nilifika hapo mwaka juzi mwishoni nikashangaa sana na kupiga picha hii
awali taa ya mnara ilikuwa inatumia kerosene lakini sasa wameweka solar system
Nyerere aliweka military base hapo enzi za ukombozi wa kusini mwa africa lakini it is no longer there
 
Wacha asante kwa kuikuza.nilifika hapo mwaka juzi mwishoni nikashangaa sana ma kupiga picha hii
awali taa ya mnara ilikuwa inatumia kerosene lakini sasa wameweka solar system
Nyerere aliweka military base hapo enzi za ukombozi wa kusini mwa africa lakini it is no longer there

Nice pic .... ..... ...
 
Wacha asante kwa kuikuza.nilifika hapo mwaka juzi mwishoni nikashangaa sana ma kupiga picha hii
awali taa ya mnara ilikuwa inatumia kerosene lakini sasa wameweka solar system
Nyerere aliweka military base hapo enzi za ukombozi wa kusini mwa africa lakini it is no longer there


Shukran mkuu, vitu kama hivyo ni adimu sana Watanzania wengi hawafahamu nchi yao na urithi walioachiwa hata kwenye mbuga zetu wameuza kila kitu yaani ni balaa tamaa ya fisi itawamaliza. Hata huo mnara wanaweza kuupiga bei khe khe kheeeee.
 
Shukran mkuu, vitu kama hivyo ni adimu sana Watanzania wengi hawafahamu nchi yao na urithi walioachiwa hata kwenye mbuga zetu wameuza kila kitu yaani ni balaa tamaa ya fisi itawamaliza. Hata huo mnara wanaweza kuupiga bei khe khe kheeeee.

kama loliondo ilimegwa itakuwa huu mnara tena upo border kabisa..
na hasa ukizingatia mafia kuna dalili za kupatikana mafuta
 
Back
Top Bottom