STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Kwenye kizazi cha sasa hofu inazidi kutanda kwa wazazi hasa wa kiume
juu ya umiliki halali wa watoto.
Na hii yote imetokana na wapenzi kukosa uaminifu na kutokuwa wakweli,
Mungu si Lipumba kikavumbuliwa hiki kipimo cha DNA lakini kinyume na matarijio, wanawake wengi wameonyesha kukichukia kupita kiasi,
Anyway hebu tuambie endapo utapewa ofa ya kwenda kupima DNA, ikijumuisha kipimo cha wazazi wako ili kujua kama ni wazazi wako halali
Vilevile kipimo cha mtoto/watoto wako,
UTAKUBALI KWENDA KUPIMA?
(unaweza kusema kipimo kipi utakikubali kwenda kupima na kwanini)
juu ya umiliki halali wa watoto.
Na hii yote imetokana na wapenzi kukosa uaminifu na kutokuwa wakweli,
Mungu si Lipumba kikavumbuliwa hiki kipimo cha DNA lakini kinyume na matarijio, wanawake wengi wameonyesha kukichukia kupita kiasi,
Anyway hebu tuambie endapo utapewa ofa ya kwenda kupima DNA, ikijumuisha kipimo cha wazazi wako ili kujua kama ni wazazi wako halali
Vilevile kipimo cha mtoto/watoto wako,
UTAKUBALI KWENDA KUPIMA?
(unaweza kusema kipimo kipi utakikubali kwenda kupima na kwanini)