Stopper3 JF-Expert Member Sep 1, 2019 625 1,030 Sep 2, 2019 #22 Pesa haramu si ndo kama ile ya kula mkeka (kubet)
Singida ndio home JF-Expert Member Feb 23, 2012 3,192 3,353 Sep 2, 2019 #23 Mawaidha mungu sana haya, hapa nmepata mawili matatu live bila chenga. Msinicheke ila bila hii maada nlikuwa nachojua nyumba ni mjengo wenye vyumba, fence na choo tu
Mawaidha mungu sana haya, hapa nmepata mawili matatu live bila chenga. Msinicheke ila bila hii maada nlikuwa nachojua nyumba ni mjengo wenye vyumba, fence na choo tu