Utajuaje mwanaume ni bikra?(hajawahi kusex)

Utajuaje mwanaume ni bikra?(hajawahi kusex)

Queen Latifah

Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
29
Reaction score
61
Hello members,
I was gone for some time hope mko poa,,,kuna kijamaa kinanidanganya eti hakijawahi kufanya kabsa.
sasa tumepanga kinaniambia it will be his first time..
My question sasa utawezaje kujua kuwa mwanaume hajawahi kufanya sex?mda wa sex?
isije kuwa kinanichora tu.
 
Zifuatazo ni sifa za mwanaume bikra


Kwanza anapenda kupiga nguo pasi yaani hatari

Akifika kwa location hana hata mapepe

Alafu ni juha

Note:ile sehemu hutakiwi uwe na digrii kubwa na ndo maana unaona mpaka sasa Tanzania tupo Mil 52 kwahiyo hadi wasukuma wapo pia
 
Hapanaa mkuu hata aangalie porn zote duniani,a man who is still a virgin lazima aonyeshe kaushamba tunakaita kanature kabla ya kupata uzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Neno "virgin" limetokana na neno Virginal. Sasa unamuitaje mwanaume virgin na varginal hana?
Si bora hata useme Penisin sasa ieleweke kabisa.
 
Back
Top Bottom